Kazi tunazozifanya ni za huduma kwa jamii – 1. Tunatoa elimu kwa jamii kujikinga na kujizuia maambukizi ya ukimwi na VVU. pia tunatoa huduma na lishe kuwajengea uwezo waathirika wa ukimwi – 2. Tunatoa elimu kwa jamii ya kujiajiri wenyewe kuwa wajasiariamali, kupiga hatua ya kupunguza uamsikini pamoja na kuwa na elimu bora ya ujenzi nyumba za kisasa kwa gharama nafuu. – 3. Tunatoa elimu ya kutunza mazingira kupanda miti,kutunza uoto wa asili na... | (Bila tafsiri) | Hariri |