Shirika hili lina mradi mmoja (1), mradi wa Ukusanyaji wa Fasihi simulizi. Kwa kuanzia tumeanza na makabila ya Waluguru katika Wilaya ya Matombo na Wakaguru katika Wilaya ya Mamboya. Pia tunakusudia kufanya ufatiti huu katika Wilaya ya Kilombero. | This organization consists of one project (1), Project Collection of Oral Literature. Initially we started with the tribes in the District Uluguru Matombo and Wakaguru in Mamboya District. We also intend to make this ufatiti in Kilombero District. | Edit |