kikundi kilianza kikiwa na wanachama watano,kikiwa na malengo yafuatayo:- – 1.kukuza ushirikiano kwa ajili ya kujiinua kiuchumi – 2.kusaidiana katika matatizo mbalimbali. – 3.kukuza kipato cha familia mfano,kusomesha watoto n.k – 4.kupata mafunzo mbalimbali ya kuhusu maswala ya ujasiriamali,afya,elimu,makazi na malazi. – 5.kuondoa umaskini katika familia na jamii kwa ujumla. – 6.kuweza kujikimu na kuweza kuondokana na... | (Not translated) | Hindura |