Asili ((unknown language)) | Kiswahili |
---|---|
kikundi kilianza kikiwa na wanachama watano,kikiwa na malengo yafuatayo:- 1.kukuza ushirikiano kwa ajili ya kujiinua kiuchumi 2.kusaidiana katika matatizo mbalimbali. 3.kukuza kipato cha familia mfano,kusomesha watoto n.k 4.kupata mafunzo mbalimbali ya kuhusu maswala ya ujasiriamali,afya,elimu,makazi na malazi. 5.kuondoa umaskini katika familia na jamii kwa ujumla. 6.kuweza kujikimu na kuweza kuondokana na janga la ukimwi kwa kupitia ujasiriamali. 7.kujihusisha na maswala ya utamaduni kwa lengo kuelimisha,kuburudisha,kukosoa,kushauri,kuasa pamoja kuhifadhi Amali za jamii |
(Bila tafsiri) |
Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe