Fungua

/CEDOTAN/history: Kiswahili: WIA7pKusby1NA6vxtcrDOtvE:content

« Iliyotangulia   ·   Ifuatayo »
Asili ((unknown language)) Kiswahili

Community Empowerment Development Organization yaani Shirika la kuendeleza ustawi wa jamii kiuchumi na kijamii, ambalo linajishughulisha na maswala ya kuendeleza Kilimo, Mifugo na ustawi wa jamii katika nyanja mbalimbali - zikiwemo huduma za maji, afya, elimu na huduma za uzalishaji/ kuongeza kipato katika kupambana na umaskini miongoni mwao.ni shirika lisilo la serikali lenye namba ya usajili 00NGO/00003075 ya tarehe 22 Aprili 2009.Eneo la shughuli ni Tanzania bara.Tangu kuanzishwa kwake limefanikiwa katika kutoa mafunzo kwa wajasiriamali wanawake,kusaidia watoto yatima,kufundisha mawakala wa pembejeo za kilimo n.k

(Bila tafsiri)

Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe