MIMBA za utotoni ni tatizo nchini kwetu. Kwa mujibu wa Takwimu za Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, wasichana 8000 kila mwaka huacha shule kutokana na ujauzito. Katiyao3,000 ni wanafunzi wa shule za msingi. – Kila siku, wanawake 24 hufariki dunia kutokana na mimba au wakati wa kujifungua. Wanawake watano mpaka sita wanaofariki kati ya hao ni... | (Not translated) | Hindura |