Fungua

/africanheritage/post/3204: Kiswahili: WI0003EB7613480000003204:content

« Iliyotangulia   ·   Ifuatayo »
Asili (Kiswahili) Kiswahili

UZINDUZI WA KITUO MAALUM CHA ELIMU.


Shirika la African Heritage Foundation inchini Tanzania limezindua kituo maalum cha elimu kiitwacho(Talented Brothers Academy).Uzinduzi huo ulifanywa na Bwana Moses Katega  aliyekua mgeni rasmi ambaye ni katibu mtendaji wa shirika hili nchini Uingereza majira ya saa 01:45 mchana.Hafla hiyo iliyohudhuriwa na wajumbe kutoka jumuiya ya Watganzania wanaoishia Italia pamoja na viongozi wa kituo hicho waalimu na wanafunzi.Hafla hiyo ilifuatiwa na muhadhara mfupi ulioongozwa na Bwana Katega uliohusu Historia ya mwanadamu ambayo ilikua ni changamoto kubwa kwa waalimu na wanafunzi.Pia mratibu wa elimu wa shirika Bwana Christopher Kauno alieleza kua kituo hicho kitakua ni msaada mkubwa kwa jamii inayowazunguka.Pichani juu wa kwanza kushoto ni Bwana Katega Bitegeko katibu wa shirika hilo Uingereza,wa pili ni Mratibu wa elimu wa shirika bwana Christopher Kauno na watatu ni Bwana Albert.T.Msafiri mkurugenzi wa shirika hilo Tanzania wakijiandaa kuzindua kituo.Pichani chini ni Bi.Sauda Mapondela mwakilishi wa wanafunzi akitoa risala katika hafla hiyo.Picha zinazofuata ni matukio mbalimbali katika hafla hiyo na mwisho ni picha za majeng ya kituo hicho.

UZINDUZI WA KITUO MAALUM cha Elimu.


Shirika la African Heritage Foundation inchini Tanzania limezindua kituo maalum cha Elimu kiitwacho (vipaji Brothers Academy) Uzinduzi. Huo ulifanywa Rangi Bwana Musa Katega Mgeni rasmi aliyekua katibu mtendaji ambaye Ni Wa shirika hili nchini Uingereza majira ya stabiliserings 01:45 mchana.Hafla hiyo iliyohudhuriwa Rangi wajumbe kutoka jumuiya ya Watganzania wanaoishia Italia pamoja Rangi viongozi Wa kituo hicho waalimu Rangi wanafunzi.Hafla hiyo ilifuatiwa Rangi muhadhara mfupi ulioongozwa Rangi Bwana Katega uliohusu Historia ya mwanadamu ambayo ilikua Ni Changamoto kubwa Kwa waalimu Rangi wanafunzi.Pia mratibu Wa Elimu Wa shirika Bwana Christopher Kauno kua alieleza kituo hicho kitakua Ni mkubwa Msaada Kwa jamii inayowazunguka.Pichani kushoto Juu Wa Kwanza Ni Bwana Katega Bitegeko katibu Wa shirika hilo Uingereza, Wa pili Ni Wa Mratibu Elimu Wa shirika bwana Christopher Kauno Rangi watatu Albert.T.Msafiri mkurugenzi Ni Bwana Wa shirika Tanzania hilo wakijiandaa kuzindua kituo.Pichani chini Bi.Sauda Mapondela Ni mwakilishi Wa wanafunzi akitoa risala katika hafla hiyo.Picha zinazofuata Ni matukio mbalimbali katika hafla hiyo ya Rangi Mwisho Ni picha za majeng ya kituo hicho.


Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe

Historia ya tafsiri

Google Translate
31 Agosti, 2010
UZINDUZI WA KITUO MAALUM cha Elimu. – (image) – Shirika la African Heritage Foundation inchini Tanzania limezindua kituo maalum cha Elimu kiitwacho (vipaji Brothers Academy) Uzinduzi. Huo ulifanywa Rangi Bwana Musa Katega Mgeni rasmi aliyekua katibu mtendaji ambaye Ni Wa shirika...
This translation refers to an older version of the source text.