Fungua

/tawa/post/101694: Kiswahili

AsiliKiswahili
Kiashilia kikubwa cha maelezo hapo juu ni suala la mafuriko ,wananchi wameathirika na janga hilo lakini waliopata msaada ni asilimia ndogo sana na wahanga ambaaohawakufikiwa ,Keko, Mbagala ,Tabata , Tandale na maeneo mengineyo yamelalamika lakini hawakuchukua hatua yoyote hivyo kilio chao kubaki nacho wenyewe(Bila tafsiri)Hariri
Katika majumuisho ya wiki hii,tumugundua sababu kubwa zinazosababisha migogoro isiyoisha inayoikumba serikali yetu ya Tanzania.Hii ni kutokana na tabia za watanzania ambao wamezoea kulalamika bila kuchukua hatua,vile vile watanzania tuna kasumba ya kusahau.Kutokana na sababu hizi watanzania tuamke ,tuwajibike ,kwa kuchukua hatua kwa kufika mahali husika ,tupeleke ujumbe na hoja zetu kwa maandishi ili malalamiko yetu yawe na kumbukumbu ,kwani haki haipatikani bila kuipigania na hatima...(Bila tafsiri)Hariri
Add a commentOngeza maoniHariri
Your email:Email yako:Hariri
Your email address will not be published.Anwani yako ya email haitachapishwa.Hariri
Your location:Mahali ulipo:Hariri
%s said:%s alisema:Hariri
(optional)(sio lazima)Hariri
Publish commentChapisha maoniHariri
CommentsMaoniHariri
FebruaryFebruariHariri
{month} {day}, {year}{day} {month}, {year}Hariri
DiscussionsMajadilianoHariri
SwahiliALLIANCE FOR SOCIAL CHANGE { UMAKI } ni shirika lisilo la kiserikali na watu wake wa kujitolea ni 1. KENETH MKATA 2. MOHAMED KIZERU 3. MWANAIDI SALIMUHariri
(unknown language)kiswahil(lugha nyingine)Hariri