MIPANGO KAZI YA WAZEE YA MUDA MREFU – Tukifanikiwa kupata wafadhili,wahisani wa kutupatia fedha au vifaa n.k.mipango yetu ni kama ifuatavyo: – AA-Tunakusudia kutafuta ardhi ili tulime mashamba nje ya Dare es salaam ili tuanzishe shughuli za kilimo. – BB-Kuanzisha vitalo vya kupanda mti sehemu mbalimbali nchini. – CC-Kuchimba visima vya maji safi na salama katika sehemu... | (Bila tafsiri) | Hariri |