je mchakato wa kuwapata wajumbe wa mabaraza ya katiba unakwenda sawia, au kuna njia za udanganyifu zinatumika kuwapata wajumbe hao. – tukumbuke katiba ndiyo maisha ya leo, kesho na siku zijazo, tuliopata nafasi tukawajibike kwa ajili ya wananchi waliotutuma na si vinginevyo | (Not translated) | Hindura |