Fungua

/jeanmedia/topic/24088/add_message: Kiswahili: dM0008457F89538000025183:content

« Iliyotangulia   ·   Ifuatayo »
Asili (Kiswahili) Kiswahili

@Sango Kipozi (Dar es salaam): muingiliano wa tamaduni za kigeni ni moja ya sababu zinazo sababisha mmomonyoko wa maadili katika jamii tamaduni hizi zinatoa uhuru mkubwa hasa kwa watoto ambao wanaitaji kuelekezwa wangali wadogo na wazazi wao,kutokana na tamaduni hizo watoto wanaachwa wajiongoze wenyewe ambavyo hupotea na kutoka nje ya maadili ya jamii.mtoto anastaili aongozwe na kuelekezwa na wakubwa kwa sababu wamekwisha kuwa na uzoefu wa maisha na wameona mengi mazuri na mabaya kwa hiyo kumuelekeza mtoto ni kutaka apite katika mazuri yatakayo msaidia kuwa na maisha yenye mafanikio mema maishani mwake.

(Bila tafsiri)

Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe