Injira

Ubusobanuro: English (en): User Content: dM000AC2465AAEA000122478:content

« Inyuma   ·   Ahakurikira »
Base (Igiswayire) English

Kila uchao vijana wanahangaika katika kujikwamua na changamoto mbalimbali zinazowahusu. vijana wanapambana na matumizi ya madawa ya kulevya, ukatili wa kijinsia, changamoto mbalimbali za kielimu katika shule zetu, kasi ya maambukizi ya vvu nk.

katika nchi yetu vijana wanaongoza kwa zaidi ya asilimia 60% kwa kasi ya ongezeko la maambukizi ya vvu. hii inasababishwa na vijana wengi kukosa nafasi ya kujifunza kuhusu haki za afya ya uzazi na ujinsia ikiwemo changamoto za kiutamaduni zinazo ruhusu wazazi/walimu kuona aibu kuzungumzia hata kufundisha katika mashule/majumbani ikiwa sera na sheria zimetoa mwongozo wa kutoa mafunzo hayo kwa vijana!

Hali ya wazazi kuona aibu inasababisha vijana kushindwa kujitambua na kupelekea kudanganyika kirahisi na hata kuambukizwa vvu. 

kinakwamisha nini ikiwa sera na sheria zipo? hakuna njia nyingine zaidi ya kusimama kwa pamoja kutetea utekelezwaji wa sera na sheria zilizopo, lakini pia kuwahamasisha vijana kutengeneza chaguzi sahihi katika uwajibikaji wao juu ya afya zao na kuwasaidia kutambua mahitaji yao yanayoweza kuleta mabadiliko na maendeleo kwao na jamii kwa ujumla.

Tunaamini kuwa "AFYA YA UZAZI NI HAKI YA KIJANA... na kwa pamoja tunaweza kuitetea na "TUITEEE" sasa!

Every waking young people are struggling in various challenges to get rid of and about them. young people struggling with drug addiction, violence, educational challenges in our schools, the rate of HIV infection etc..

youth in our country lead by more than 60% increase in speed of transmission of HIV. This is caused by many young people lack the opportunity to learn about reproductive health rights and sexuality, including those that allow the cultural challenges of parents / teachers to be ashamed to talk even to teach in schools / homes if the policies and laws have provided guidance to provide training for young people!

Status of parents shy failure causes young self and easily deceived and even lead to HIV infection.

What to impede the policies and laws exist? no other option than to stand together to advocate enforcement of existing laws and policies, but also encourage young people to make correct choices in their responsibility over their health and help them identify their needs change and development can bring to them and society as a whole.

We believe that "REPRODUCTIVE HEALTH IS A RIGHT OF YOUTH ... and together we can defend and" TUITEEE "now!


Kugirango ugire icyo uhindura kubyo wasemuye, ugomba kwinjira mu rubuga Injira · Iyandikishe

Ibyasobanuwe

Google Translate
25 Gicurasi, 2012
Every waking young people are struggling in various challenges to get rid of and about them. young people struggling with drug addiction, violence, educational challenges in our schools, the rate of HIV infection etc.. – youth in our country lead by more than 60% increase in speed of transmission of HIV. This is caused by many young people lack the opportunity to learn about reproductive health rights and sexuality, including those that allow the cultural challenges of parents...