Asili (Kiswahili) | English |
---|---|
watanzania tulio wengi ni mabigwa na wataalamu wazuri wa mawazo hasa wanasiasa wetu ila tatizo linapokuja pale inapofikia utekelezaji ndio mbinde ukitaka kuamini hilo angali kipindi cha uchaguzi kinapofia uambiwa maneno matamu na yakutia moya hata kama ulikuwa huna haja ya kupiga kura utahamasika mwenyewe kwenda kupiga kura. si hivyo tu kama mfuatiliaji mzuri kipindi cha majadiliano au utoaji wa muswada bungeni mawazo yanatoka mazuri na yakutia moyo ila sasa inapokuja kwenye utekelezaji nazidi kuamasika kukutolea mifano wa Sera na mikakati mingi ya serikali kama umebaatika kuiyona utaona mawazo na maono mazuri yaliyojaa katika sera hizo na mikakati hiyo. hayo yote ni mawazo ya watanzia yaliyo mazuri swali la kujiuliza ni kwanini mawazo hayo hayatekelezeki? |
Tanzanians who are many are champions and professionals masters of thought, especially our politicians, but the problem comes when when it comes to implementing the mbinde you want to believe it still an election period kinapofia the befell the words sweet and yakutia heart even if you have no need to vote you motivated yourself to go to vote. not merely as a good observer of the discussions over the provision of the bill through parliament and yakutia good ideas come from the heart, but now it comes to implementation azides kuamasika kukutolea examples of policy and strategy of the government if you baatika inspected will find ideas and filled with good vision in such policies and strategies. all these are ideas that will sleep better question to ask is why these ideas are not yatekelezeki? |
Historia ya tafsiri
|