Fungua

Tafsiri: English (en): Maandiko ya Watumiaji: WIByczTDP56GMR0VTcC63Tob:content

« Iliyotangulia   ·   Ifuatayo »
Asili (Kiswahili) English

ikiwa jamii inatambua ya kwamba watoto ni wetu sote kwanini isijitoe kuwalea? hii inaonesha kwamba jamii inathamini zaidi watoto wao wa kuwazaa na kuwaacha wengine wakitaabika hivyo kauli ya pamoja tuwalee inabaki kama msemo tu tena usio na faida yoyote kwa taifa, hii inafanya taifa kuzidi kuwa masikini kwani pengine hao tunaowaacha wangesoma wangeweza kuwa mawaziri au hata viongozi wakubwa katika ngazi za juu.

if society recognizes that our children are all why isijitoe nurturing? This shows that society values ​​more than their children to bring forth and leave the others were troubled that statement with tuwalee remains as saying only again without any benefit to the nation, this makes people become increasingly poor as perhaps those we leave would be reading would be ministers or even heads giants levels.


Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe

Historia ya tafsiri

Google Translate
25 Juni, 2012
if society recognizes that our children are all why isijitoe nurturing? This shows that society values ​​more than their children to bring forth and leave the others were troubled that statement with tuwalee remains as saying only again without any benefit to the nation, this makes people become increasingly poor as perhaps those we leave would be reading would be ministers or even heads giants levels.