Log in

Translations: English (en): User Content: WI000E6AD277257000000938:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

DIRA THEATRE GROUP (DTG) ni asasi ya kiraia ambayo ilianzishwa mwaka 2005 na kusajiliwa mwaka 2006 kwa No.BST/2560 chini ya sheria No. 23 ya mwaka 1984. Kutokana na aina hii ya usajili Dira imeruhusiwa kufanya kazi zake mahali popote ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na kushiriki katika mialiko mbalimbali ya nje ya nchi.

Kuanzishwa kwa Dira kulitokana na mwamko/uelewa mdogo wa jamii katika  kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazowakabili hususani katika nyanja za elimu, afya, uchumi na utamaduni hali inayoifanya iendelee kuwa na maisha duni.

Katika kuleta maendeleo na ustawi wa jamii, Dira imejikita zaidi katika kupambana na vyanzo vya matatizo kama Elimu, Magonjwa, Umaskini wa kipato na migogoro mbalimbali katika jamii.

Katika kutekeleza dhima hiyo Dira imetekeleza miradi na shughuli mbalimbali katika maeneo tofauti. Miongoni mwa miradi hiyo ni Utawara bora kwa viongozi wa vijiji, Elimu ya jinsi na jinsia, Elimu kuhusu magonjwa mbalimbali, Athali za dawa za kulevya, Athari za rushwa katika jamii, Sera na sheria  za ardhi, Maadili ya utumishi wa umma, Haki na wajibu wa jamii katika chaguzi,Utunzaji wa mazingira, Kukuza vipaji vya watoto mashuleni, Sanaa kwa maendeleo n.k.

DIRA

Kuwa na jamii yenye uwezo na ari ya kupambana na changamoto mbalimbali zinazoikabili na kuwa na maisha bora.

LENGO

Kuhimiza, kusukuma na kusaidia maendeleo ya jamii. Kielimu, Kiuchumi na kiutamaduni ili iweze kupambana na changamoto mbalimbali zinazoikabili.

MADHUMUNI

Kutoa elimu kwa jamii kwa kutumia njia mbalimbali kama vile Semina, Warsha, Makongamano na Sanaa shirikishi kwa ajili ya kukabiliana na magonjwa, umaskini, haki, mazingira n.k.

Kuongeza uwezo wa jamii hususani wasanii ili waweze kutumia sanaa zao (sanaa za maonyesho, na sanaa za ufundi) kuboresha maisha yao na kukuza utamaduni wetu.

Kuihamasisha jamii kutoa malezi bora kwa watoto ili kuwajengea mazingira mazuri ya maisha yao ya baadae.

Kufanya mahusiano mema miongoni mwa asasi na wadau mbalimbali wa ndani na nje ya nchi.

Kusaidia jamii kwa njia mbalimbali katika kumbana na tatizo la umaskini wa kipato.

 

 

 

 


 

DIRA THEATRE GROUP (DTG) ni asasi ya kiraia ambayo ilianzishwa mwaka 2005 na kusajiliwa mwaka 2006 kwa No.BST/2560 chini ya sheria No. 23 ya mwaka 1984. Kutokana na aina hii ya usajili Dira imeruhusiwa kufanya kazi zake mahali popote ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na kushiriki katika mialiko mbalimbali ya nje ya nchi.

Kuanzishwa kwa Dira kulitokana na mwamko/uelewa mdogo wa jamii katika  kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazowakabili hususani katika nyanja za elimu, afya, uchumi na utamaduni hali inayoifanya iendelee kuwa na maisha duni.

Katika kuleta maendeleo na ustawi wa jamii, Dira imejikita zaidi katika kupambana na vyanzo vya matatizo kama Elimu, Magonjwa, Umaskini wa kipato na migogoro mbalimbali katika jamii.

Katika kutekeleza dhima hiyo Dira imetekeleza miradi na shughuli mbalimbali katika maeneo tofauti. Miongoni mwa miradi hiyo ni Utawara bora kwa viongozi wa vijiji, Elimu ya jinsi na jinsia, Elimu kuhusu magonjwa mbalimbali, Athali za dawa za kulevya, Athari za rushwa katika jamii, Sera na sheria  za ardhi, Maadili ya utumishi wa umma, Haki na wajibu wa jamii katika chaguzi,Utunzaji wa mazingira, Kukuza vipaji vya watoto mashuleni, Sanaa kwa maendeleo n.k.

DIRA

Kuwa na jamii yenye uwezo na ari ya kupambana na changamoto mbalimbali zinazoikabili na kuwa na maisha bora.

LENGO

Kuhimiza, kusukuma na kusaidia maendeleo ya jamii. Kielimu, Kiuchumi na kiutamaduni ili iweze kupambana na changamoto mbalimbali zinazoikabili.

MADHUMUNI

Kutoa elimu kwa jamii kwa kutumia njia mbalimbali kama vile Semina, Warsha, Makongamano na Sanaa shirikishi kwa ajili ya kukabiliana na magonjwa, umaskini, haki, mazingira n.k.

Kuongeza uwezo wa jamii hususani wasanii ili waweze kutumia sanaa zao (sanaa za maonyesho, na sanaa za ufundi) kuboresha maisha yao na kukuza utamaduni wetu.

Kuihamasisha jamii kutoa malezi bora kwa watoto ili kuwajengea mazingira mazuri ya maisha yao ya baadae.

Kufanya mahusiano mema miongoni mwa asasi na wadau mbalimbali wa ndani na nje ya nchi.

Kusaidia jamii kwa njia mbalimbali katika kumbana na tatizo la umaskini wa kipato.

 

 

 

 


 


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

dtg
April 26, 2016
DIRA THEATRE GROUP (DTG) is Community Based Organization (CBOs) that established on year 2005 na registered on year 2006 with reg. No.BST/2560 under Law Act No. 23 of year 1984. According to that kind of registration, Dira Theatre is allowed to do its activities anywhere within Tanzania Mainland also to attend any invitations from outside the Tanzania. – Establishment of Dira Theatre was due to poor community awareness in dealing...
dtg
March 1, 2016
DIRA THEATRE GROUP (DTG) ni asasi ya kiraia ambayo ilianzishwa mwaka 2005 na kusajiliwa mwaka 2006 kwa No.BST/2560 chini ya sheria No. 23 ya mwaka 1984. Kutokana na aina hii ya usajili Dira imeruhusiwa kufanya kazi zake mahali popote ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na kushiriki katika mialiko mbalimbali ya nje ya nchi. ...
This translation refers to an older version of the source text.