Log in

Translations: English (en): User Content: WI000D224CDE1E5000006710:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

 

 

 

 

Dhahabu Arts Group ni Shirika lisilo la kiserikali lililoanzishwa mwaka 2002 na baadae kusajiliwa na Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto. Tokea hapo imekuwa ikifanya shughuli mbalimbali za kijamii ikiwa na dira, dhima, lengo na madhumuni yafuatayo:-

1. DIRA

Kuiona jamii ya kitanzania ikiwa bora na uelewa katika afya, elimu, uchumi, utamaduni, mazingira, jinsia na utawala bora.

 

2.  MISSION

Kuiwezesha jamii ya kitanzania katika njia shirikishi kutambua matatizo waliyonayo na kupanga mikakati ya kukabiliana nayo na kuitekeleza kulingana na rasilimali zilizopo.

 

3. LENGO

Kuijenga jamii bora ya kitanzania iliyo bora  zaidi kiafya, kielimu, kiuchumi, kiutamaduni, katika Utawala bora, kijinsia, kimazingira kulingana na viwango vya malengo ya Milenia na sera za kitaifa.

 

4. MADHUMUNI 

(a)     Kutoa elimu ya uwezeshaji kwa jamii na kukuza uelewa katika masuala mbalimbali yaliyo katika lengo na dira yetu (afya, elimu, uchumi, utamaduni, mazingira, jinsia na utawala bora)

(b)     Kushirikiana na mashirika mbalimbali yenye lengo kama letu katika ujenzi wa nguvu za pamoja ili kuiwezesha jamii kuwa bora katika sekta zote.

(c)     Kuandaa, kuingia/kujiunga na kushiriki katika Kampeni mbalimbali za kupigania maendeleo ya wananchi  wa kawaida na  na makundi yaliyoacha/kuwekwa pembezoni.

(d)    Kuhakikisha Jamii, viongozi, Asasi na makundi ya kijamii vinakuwa na ufahamu kuhusu utawala bora na nafasi yao kikatiba ili kuweza kushiriki katika matukio mbalimbali ya kidemokrasia ili kutimiza haki yao ya kikatiba waliyonayo.

(e)     Kuhakikisha Tanzania na Dunia panakuwa mahala bora zaidi pa kuishi.

 

 

Golden Arts Group is a non-governmental organization founded in 2002 and later registered with the Ministry of Community Development Gender and Children. Since there has been undertaking various social activities with the vision, role, goal and objectives the following: -

1. VISION

Tanzanian society to see if a better understanding on health, education, economy, culture, environment, gender and governance.

 

2. MISSION

Enable the Tanzanian community in a collaborative way to identify the problems they have and plan strategies to deal with it and implement in accordance with existing resources.

 

3. GOAL

Build a better community for the best Tanzanian   more health, educational, economic, cultural, in good governance, gender, environmental standards in accordance with the Millennium Development Goals and national policies.

 

4. OBJECTIVES  

(A)      Provide education for community empowerment and promotion of awareness on various issues is on target with our vision (health, education, economy, culture, environment, gender and good governance)

(B)      Collaborate with various organizations aimed at the construction as our collective power to enable communities to be better in all sectors.

(C)      Prepare, enter / join and participate in various campaigns to fight for the development of the country   normal and   groups yaliyoacha / set...


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
March 21, 2011
Golden Arts Group is a non-governmental organization founded in 2002 and later registered with the Ministry of Community Development Gender and Children. Since there has been undertaking various social activities with the vision, role, goal and objectives the following: - ...