Envaya

Tafsiri: English (en): Maandiko ya Watumiaji: WI000C1C2F0E340000041501:content

Asili (Kiswahili) English


Na Grace Ndossa

CHAMA cha Waalimu Tanzania(CWT)kimesema kuwa kusudio la kutangaza mgogoro na serikali liko pale pale kama ilivyopitishwa na Baraza la Taifa la Chama kwa sababu hakuna hatua za makusudi zilizochukuliwa na serikali kukabilia na matatizo ya waalimu hasa wanaoidai.

Pia chama hicho kimetoa wito kwa watendaji wake kuwasilisha majina ya waalimu wanaodai kwa kuzingatia maelekezo yaliyotolewa kwao.

Hata hivyo alisema kuwa wanachama wanaobwa kushirikiano na viongozi wao japo kuwa inaonekana kuwa ni usumbufu kwa kuwasilisha nyaraka mara nyingi bila ya kuyapatiwa ufumbuzi.

Kauli hiyo ilitolewa Dar es salaam jana na Rais wa Chama hicho Bw. Gratian Mukoba alipokuwa anazungumza na waandishi w
a habari kuhusina na maazimio waliofikia walipokaa na serikali kujadili madai yao.

Alisema kuwa walimu wanatakiwa kuendelea kuwa na subira wakati majadiliana yakiendelea na serikali ili kujua hatma ya madeni yao baada ya kikao kilichopangwa kufanyika kabla ya mwezi huu kukamilika.

Alisema kuwa maazimio yaliyofikiwa na kikao hicho ni chama kiwasilishe majina ya waalimu wanaodai kwa kuzingatia format iliyokubalika ili kiweze kudhibitisha madai yaliyowasilishwa ya zaidi ya sh bilioni 29.2.

Alisema kuwa majina hayo yanatakiwa kuwasilishwa kwa katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menenjimenti ya Utumishi wa Umma kabla ya Agosti 15 mwaka huu nyaraka zenye majina ya walimu hao.

'Serikali ilikuwa na wasiwasi kuwa huenda wanaodai ni wale waliokwishalipwa au waliowasilishwa nyaraka zao na mkaguzi na mdhibiti wa Hesabu za serikali alikataa madai yao na aidha walikata rufaa wakakataliwa au hawakukata rufaa,'alisema Bw. Mukoba.

Pia alisema kuwa majina ya walimu waliokuwa wanastahili kupandishwa madaraja kwa miaka ya nyuma lakini hawakupandishwa mwaka jana wa fedha kwa madai kuwa mwajiri hakuwa na fedha, hawa ni walioanza kazi mwaka 2007, waliopandishwa madaraja kwa mwaka jana wa fedha.

Hata hivyo alisema kuwa serikali inatakiwa kuangali upya waraka wa utumishi wa Kumb. Na.C/CA.44/45/01/84wa Desemba 1 mwaka 2009 ambao umelalamikiwa sana na waalimu wanaojiendeleza.

Bw. Mukoba alisema kuwa ushauri uliotolewa kwa siku zijazo viongozi wa CWTngazi za Wilaya washirikiene na wakurugenzi kuhakiki madeni ya waalimu kila baada ya miezi mitatu ili kwa pamoja wabaini madeni mapema na taarifa iwe moja kuepuka uisumbufu unaojitokeza kwa sasa.

'Walimu wakumbuke kuwa kuwasilisha madai huku akijua kuwa si madai halali ni kosa la jinai na atakayebainika mwajhiri wake atachukuliwa hatua za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kufikishwa mahakamani,'alisema Mukoba

Alisema kuwa Pande zote mbili kwenye kikao hicho kilikubalina kuwa serikali itaitisha kikao kingine kabla ya Agosti 30 mwaka huu baada ya CWT kuwasilisha majina Agosti 15 ili kwa pamoja pande zote zipitie na kuona ukubwa wa tatizo la madai ya waalimu kama yalivyowasilishwa, baada ya kukusanya madeni kutoka mikoani na kikao hicho ndicho kitatoa hatma ya utekelezaji.
"


And Grace Ndossa

Tanzania Teachers Association (CWT) has undertaken that the purpose of declaring the crisis and the government is there as ilivyopitishwa and the National Council of the Association because no deliberate steps taken by government kukabilia problems for teachers, especially those who claim it.

It also has given the party calling for its personnel to submit names of teachers who claim to comply with instructions given to them.

However, he said that members are requested cooperation and their leaders, though that seems to be an inconvenience to submit documents often without kuyapatiwa solution.

Statement was issued yesterday in Dar es Salaam and Mr President of the Association. Gratian Mukoba while he talked with reporters
about a w kuhusina and resolutions were reached were lived by the government to discuss their demands.

He said that teachers should continue to be patient while continuing to negotiate with the government to determine the fate of their debts after the session scheduled to take place before the completion of this month.

He said that the resolutions reached by the meeting are members submit names of teachers who claim to adhere to the agreed format to be able to confirm the claim filed more than Shs 29.2 billion.

He said that these names should be submitted to the Secretary General to the President's Office Public Service Menenjimenti before August 15 this year the documents containing the names of those teachers.

'The government was concerned that perhaps those who claim it kwishalipwa or who presented their papers to the auditor and comptroller of the accounts of the government rejected their claim and appeal were either rejected or did not appeal,' said Mr. Mukoba.

He also said that the names of teachers who were eligible for promotion to grades in previous years but were not promoted to finance last year alleging that the employer does not have the money, these are those who started work in 2007, who led classes for the fiscal year.

However, he said that the government should review the document's reference service of Ref. Na.C/CA.44/45/01/84wa 1 December 2009, which has been accused by teachers who are highly developed.

Mr. Mukoba said that the advice given to the future district leaders CWTngazi washirikiene and liabilities of directors to assess teachers every three months in order to jointly identify the debt early and be one to avoid uisumbufu information that is emerging now.

'Teachers should remember that knowingly submit a claim that is not a valid claim is a criminal offense and who found his mwajhiri will be taken no disciplinary action including court appearance,' said Mukoba

He said the two sides in the session kilikubalina that the government shall I ask for next session before August 30 this year after the CWT to submit the names on August 15 in order to include both zipitie and see the magnitude of the problem of claims of teachers as yalivyowasilishwa, after collecting debts from regions and will provide a session that is the fate of implementation.
"

Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe

Historia ya tafsiri

Google Translate
18 Novemba, 2011
(image) – And Grace Ndossa – Tanzania Teachers Association (CWT) has undertaken that the purpose of declaring the crisis and the government is there as ilivyopitishwa and the National Council of the Association because no...
Google Translate
3 Agosti, 2011
(image) – And Grace Ndossa – The Tanzania Teachers Union (CWT) has undertaken to announce that the intent of the crisis and the government is there as ilivyopitishwa and the National Council of the Association because...
This translation refers to an older version of the source text.