Injira

Ubusobanuro: English (en): User Content: WI00048E5666D8F000066456:content

« Inyuma   ·   Ahakurikira »
Base (Igiswayire) English
MZEE+RUKSA.bmp


I
Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi, amesema viongozi wa dini kutoka Tanzania wanatia aibu na kuchangia Watanzania kunuka nje ya nchi kwa tuhuma za kusafirisha dawa za kulevya.

Mzee Mwinyi alitoa kauli hiyo jana mbele ya viongozi hao na kusimulia mkasa uliomkuta yeye binafsi wa kupekuliwa kupita kiasi katika kiwanja cha ndege nje ya nchi, akishukiwa kuwa kiongozi wa dini kutoka Tanzania anayesafirisha dawa za kulevya.

Alikuwa akizindua Baraza la Viongozi wa Dini la Kupambana na Athari za Dawa za Kulevya jana Dar es Salaam katika hafla iliyoandaliwa na asasi ya kiraia ya American International Health Alliance (AIHA).

“Ninachokisema kuna maneno mengi ya aibu yanasemwa kuhusu Watanzania, aibu zaidi hata kwa wacha Mungu wa Tanzania sasa hawaaminiki, wanatumia fursa walizonazo kuficha na kusafirisha dawa za kulevya.

“Nilikuwa naenda Ujerumani hivyo nililazimika kubadili ndege katika moja ya nchi huko ughaibuni, wakati wa kupanda ndege ya pili tukaanza kukaguliwa. Ilipofika zamu yangu, nilikaguliwa sana, lakini hawakutosheka, nikaingizwa kwenye chumba cha pembeni, nikavuliwa viatu na koti wakanikagua kwa mashine na mwisho wakanipapasa mwili mzima,” alisema Mzee Mwinyi.

Alisema alikumbana na kadhia hiyo pamoja na hadhi yake ya kidiplomasia kwa vile tu alikuwa ameshikilia tasbihi (rozari) mkononi, jambo lililofanya ahisiwe kuwa ni kiongozi wa dini anayesafirisha dawa za kulevya.

“Yule aliyenikagua alikuwa akifanya kazi yake, amenifundisha, lakini nataka mjue Watanzania wenzangu kuwa tunanuka huko nje,” alisema Mwinyi maarufu kama Mzee Ruksa wakati wa utawala wake.



Mzee Mwinyi alilazimika kutoa mkasa huo uliompata miaka mingi iliyopita bila kutaja mwaka wala uwanja husika mbele ya viongozi hao wa dini mbalimbali ili kufikisha ujumbe kwao kuwa Tanzania inanuka kwa kuhusishwa na dawa za kulevya.



Alisema mmoja wa wasaidizi wake alijaribu kumnusuru katika hali hiyo kwa kumtahadharisha ofisa wa uwanja huo wa ndege kuwa huyo anayemkagua ni mwanadiplomasia.



“Lakini bwana yule alimjibu tena kwa ukali ‘I don’t care’ (sijali), wakaendelea kunikagua wanavyotaka baadaye nikajiuliza kwani imekuaje wakanikagua vile, nikagundua kuwa ni kwa vile nimebeba tasbihi,” alisimulia Mzee Mwinyi.


Alisema alionekana kama mwanadini anayetumia alama ya tasbihi ili apitishe dawa za kulevya kirahisi, jambo ambalo lilimsikitisha na wakati anaondoka uwanjani hapo, alilazimika kumkabidhi yule ofisa aliyemkagua tasbihi yake kama zawadi.



Kauli hiyo ya Mzee Mwinyi, imetolewa baada ya Rais Jakaya Kikwete kuwataka viongozi wa dini kukemea uhalifu huo na kutahadharisha kuwa sasa biashara hiyo imeaanza kuvutia viongozi wa dini.



Rais Kikwete alitoa kauli hiyo alipokuwa akiwahutubia waumini wa Kanisa Katoliki Jimbo la Mbinga, kwenye ibada maalumu ya kupewa kuwekwa wakfu Mhashamu Askofu John Ndimbo wa Jimbo hilo.



Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi, alisema Serikali imejipanga kuhakikisha kunakuwa na sheria moja yenye nguvu itakayoziba mianya yote inayojitokeza katika sheria za dawa za kulevya.



Alisema kwa sasa sheria zilizopo zina mianya mikubwa ambayo inasababisha mapapa wa biashara hiyo na vipapa vidogo vinavyokamatwa kuishia kulipishwa faini ya Sh. milioni moja na kutoka.



“Sheria inasema wazi ukikamatwa na dawa za kulevya unalipishwa mara tatu ya gharama ya mzigo wa dawa hizo, kifungo cha miaka 30 au maisha lakini hivi kweli mmeshawaona watu wakifungwa kwa kosa hilo, lazima kuwe na marekebisho katika sheria hizi,” alisema



Kamishna wa Tume ya Kuratibu Udhibiti wa Dawa za Kulevya, Christopher Shekiondo, alisema kikosi kazi maalumu kilichopo chini ya Tume hiyo kimekamata watu wengi wanaotuhumiwa kufanya biashara hiyo.



Takwimu zinaonesha mwaka 2008 hadi mwaka huu, watuhumiwa 22,814 walikamatwa nchini na 67 nje ya nchi huku idadi ya dawa zilizokamatwa ikiongezeka.



Kwa mujibu wa Shekiondo, dawa zilizokamatwa zimeongezeka kutoka heroine kilo 100 kutoka mwaka 2000 hadi 2009 hadi kilo 154 mwaka jana na mwaka huu; na cocaine kilo 57 mwaka 2000 hadi 2009 hadi kufikia kilo 191 mwaka 2010 hadi mwaka huu.



Baraza hilo la Viongozi wa Dini kazi yake ni kuhamasisha vijana kuepuka biashara na matumizi ya dawa za kulevya na linaongozwa na Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Salum.




MZEE+RUKSA.bmp


I
Retired President Ali Hassan Mwinyi, said religious leaders from Tanzania are put to shame and contribute to odor Tanzanians abroad on suspicion of transporting drugs.

Mzee Mwinyi gave a speech yesterday before the authorities and tell them the tragedy of kupekuliwa omkuta liable to excess in an airport outside the country, was suspected of being a religious leader from Tanzania who transports drugs.

He launched the Council of Religious Leaders of the Anti-Drug Abuse Impact of Dar es Salaam yesterday at a ceremony organized by civil society of American International Health Alliance (AIHA).

"Ninachokisema shame there are many words spoken about the Tanzanians, even more shame to let the God of Tanzania now can not be trusted, they used the opportunity to actively conceal and transport drugs.

"I'm going to Germany so I had to change flights in one of the country in abroad, while the second plant of plane we begin censoring. By my watch, I inspected, but not satisfied, I put in a corner room, I stripped shoes and coat and inspect the machine and the end came nipapasa whole body, "said Mzee Mwinyi.

He was plagued by claims that with his diplomatic status as he had been holding rosary (rosary) in hand, something that made ​​ahisiwe a religious leader who transports drugs.

"He who inspect was doing his job, he has taught me, but I want you to know my fellow Tanzanians that we stink out there," said Mzee Mwinyi Ruksa popular during his administration.



Mzee Mwinyi was obliged to provide incident was been brought upon him many years ago without any mention in neither field relevant to the various religious leaders to convey their message that Tanzania inanuka associated with drugs.



He said one of his aides had tried to help him against the situation in the area to warn the officer of the aircraft being inspected is a diplomat.



"But the Lord said unto him again violently 'I do not care' (do not worry), they continue kunikagua are listed as imekuaje later I wondered how they inspect it, I realized that it was because I was carrying rosary," he told Mzee Mwinyi.


He said he looked like mwanadini who uses color rosary to apitishe drugs easily, which lilimsikitisha and when he left the pitch there, he was forced to hand over the officer who inspected her rosary as a gift.



Mzee Mwinyi's statement, issued after President Jakaya Kikwete asking religious leaders denouncing the crime and warn that the current business imeaanza interesting religious leaders.



President Kikwete made ​​the statement while briefing members of the Catholic Church Diocese of Mbinga, the special service of dedication given Mhashamu Bishop John Ndimbo of State.



Minister of State, Office of the Secretary General (Policy, Coordination and Parliamentary Affairs), William Lukuvi, said the Government imejipanga ensure a strong law itakayoziba all loopholes in the laws of emerging drugs.



He said currently existing laws have loopholes that causes major popes of small business and the Pontifical vinavyokamatwa ending chargeable fine Sh. and from one million.



"The law clearly states you arrested and drugs are charged three times the cost burden of drugs, sentenced to 30 years or life, but these really are shawaona people were imprisoned for the crime, should there be amendments to these laws," said



Commissioner of the Commission for Coordination and Control of Drug Abuse, Christopher Shekiondo, said a special task force is available under the commission kimekamata many people accused of trafficking.



Statistics show in 2008 until this year, 22,814 suspects were arrested in and 67 out of the country while increasing the number of captured drugs.



According to Shekiondo, drug heroine captured increased from 100 kg from 2000 to 2009 to 154 kg last year and this year, and 57 kg cocaine in 2000 to 2009 to reach 191 kg in 2010 to this year.



The Council of Religious Leaders function is to encourage young people to avoid trade and consumption of drugs and Sheikh linaongozwa and Dar es Salaam, Alhad Salum.





Kugirango ugire icyo uhindura kubyo wasemuye, ugomba kwinjira mu rubuga Injira · Iyandikishe

Ibyasobanuwe

Google Translate
15 Ugushyingo, 2011
(image) – I ...
Google Translate
12 Ukwakira, 2011
(image) – I ...
Ubu busobanuro bwakuwe mu nyandiko ya kera