Envaya
Parts of this page have been translated from Swahili to English. View original · Edit translations
TEDINEPA imetimiza miaka 2 ya kuanzishwa kwa vikundi 10 vya VICOBA na mwaka vimeanzishwa tena 10 vyote ni vya watu wanaoishi na virusi vya ukimwi ambavyo vimeongezewa ruzuku ya kuongeza kwenye michango ya kukukepeshana na watu wanakopa na kurejesha na chanzo cha mapato wamepata mafunzo ya ujasilia mali wa kutengeneza sabuni za maji za kufulia na kupiga deki chooni,sabuni za vipande,shampoo na maziwa ya maarage ya soya,hivyo imepelekea WAVIU kuwa na maendeleo ya kuishi kwa mikakati badala ya kuwa tegemezi na mawazo ya kufikilia kifo kupungua tumedhubutu na tumeweza katibu TEDINEPA -KALAKI 0717925553
TAARIFA ZA MTANDAO WA TEDINEPA 2012
For now, we are doing a training workshop for a correct medicine regimen for decreasing the severity of HIV / AIDS together with nutrition.

In this workshop we will involve people living with HIV and those who care for those who use these medicines.

We have three networks in the Temeke, Ilala, and Kinodoni district s. These trainings are being continued in all three of these districts.