Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations
TEDINEPA imetimiza miaka 2 ya kuanzishwa kwa vikundi 10 vya VICOBA na mwaka vimeanzishwa tena 10 vyote ni vya watu wanaoishi na virusi vya ukimwi ambavyo vimeongezewa ruzuku ya kuongeza kwenye michango ya kukukepeshana na watu wanakopa na kurejesha na chanzo cha mapato wamepata mafunzo ya ujasilia mali wa kutengeneza sabuni za maji za kufulia na kupiga deki chooni,sabuni za vipande,shampoo na maziwa ya maarage ya soya,hivyo imepelekea WAVIU kuwa na maendeleo ya kuishi kwa mikakati badala ya kuwa tegemezi na mawazo ya kufikilia kifo kupungua tumedhubutu na tumeweza katibu TEDINEPA -KALAKI 0717925553
Ibitekerezo (0)
TAARIFA ZA MTANDAO WA TEDINEPA 2012
Kwasasa tunafanya workshop ya mafunzo ya ufuasi sahihi wa dawa za kupunguza makali ya VVU na Ukimwi pamoja na lishe.
Workshop hii tunawahusisha wale wanaoishsi na VVU na wale wanao watunza wanao tumia dawa hizo.
tuna mitandao mitatu katika wilaya za Temeke Ilala na Kinodoni. haya mafunzo yanaendeshwa katika wilaya zote hizo tatu.
Workshop hii tunawahusisha wale wanaoishsi na VVU na wale wanao watunza wanao tumia dawa hizo.
tuna mitandao mitatu katika wilaya za Temeke Ilala na Kinodoni. haya mafunzo yanaendeshwa katika wilaya zote hizo tatu.