kuunganisha madereva wote Tanzania bila kujali kazi anayofanya au jinsia yake,itikadi au chombo anachoendesha.
Latest Updates
Tanzania Drivers Association added a News update.
Tunaandaa semina kwa madereva wote wa masafa marefu na mafupi nchini Tanzania ambayo itafanyika siku ya jumamosi ya tarehe 5/6/2010 saa tatu na nusu asubuhi katika ukumbi wa nyumbu hall uliopo P T A au viwanja vya mwalimu Nyerere zamani sabasaba kilwa road
May 10, 2010
Tanzania Drivers Association joined Envaya.
May 10, 2010
Sectors
Location
MNAZI MMOJA/KAWAWA st, Dar es Salaam, Tanzania
See nearby organizations
See nearby organizations