Envaya
Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

mabaraza ya katiba

Tanganyika centre for development and advocacy (uhuru road, miyomboni street, Asas Estate first floor)
4 Mata, 2013 at 18:43 EAT

je mchakato wa kuwapata wajumbe wa mabaraza ya katiba unakwenda sawia, au kuna njia za udanganyifu zinatumika kuwapata wajumbe hao.

tukumbuke katiba ndiyo maisha ya leo, kesho na siku zijazo, tuliopata nafasi tukawajibike kwa ajili ya wananchi waliotutuma na si vinginevyo


Andika ubutumwa (Hisha)

Izina ryawe:
Aho uherereye
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.