Envaya
Tanzania Women of Action(Tawa)
Habari
13 Novemba, 2012
« Iliyotangulia
Ifuatayo »
Maoni (2)
Tanzania Women of Action(Tawa)
(Hananasifu Kinondoni) alisema:
Wanawake na watanzania kwa ujumla tushikamane kutokomeza ndoa na mimba za utotoni ambazo hupelekea wasichana kujiingiza katika biashara ya ngono ,hatimaye kupata maabukizi ya ukimwi na kukosa mwelekeo wa maisha.
13 Novemba, 2012
Tanzania Women of Action(Tawa)
(Hananasifu Kinondoni) alisema:
Ndoa na mimba za utotoni umnyima fursa msichana kupata elimu ambayo humsababishia maisha ya kuwa mtumwa ,
13 Novemba, 2012
Ongeza maoni
Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.
Maoni (2)