Fungua
Tanzania Women of Action(Tawa)

Tanzania Women of Action(Tawa)

Dar es salaam, Tanzania

3 Februari, 2012
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Maoni (3)

Tanzania Women of Action(Tawa) (Hananasifu Kinondoni) alisema:
Picha hiyo hapo juu inaonyesha ni jinsi gani wahanga wa mafuriko walivyoathirika na bado wapo katika hali hatarishi ukizingatia bado maji yametuama na ndiyo chanzo cha magonjwa ya mlipuko pamoja na maralia na pia inaonyesha jinsi gani wananchi hao walivyopoteza makazi pamoja na mali zao,
3 Februari, 2012
Tanzania Women of Action(Tawa) (Hananasifu Kinondoni) alisema:
Msaada wa haraka unahitajika ili kunusuru maisha ya famila hizi
4 Februari, 2012
Tanzania Women of Action(Tawa) (Hananasifu Kinondoni) alisema:
Kama maji yanavyoonekana katika nyumba hiyo ni dhahili kwamba magonjwa ya mlipuka ikiwemo malaria ni lazima yatokee katika eneo hili ,hivyo hatua za haraka zichukuliwe ili wananchi wasizidi kuathirika
4 Februari, 2012

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.