Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

FCS Narrative Report

Introduction

Tanga Civil Societies Coalition
TASCO
Kuimalisha Uhusiano na Uwajibikaji wa Wabunge kwa Wananchi katika ngazi ya Majimbo
FCS/MG/SC/11/008
Dates: March to May 2012Quarter(s): 2
David Chanyeghea

Project Description

Governance and Accountability
Kuendesha Midahalo ya wananchi katika Majimbo 5 ya Mkoa wa Tanga, Pangani, Kilindi, Mkinga, Handeni na Tanga. Ambapo wananchi wanapata fursa ya kuongea na viongozi wao na kuchangia mawazo ya nini kifanyike katika kuimarisha mahusiano na kutatua matatizo yanayo wakabili katika Jimbo husika, mbali na washiriki wa midahalo lakini pia kutumia vyombo vya habari (Radio) ambayo wanachi wanapata fursa ya kusikia mdahalo ukiendeshwa moja kwa moja
RegionDistrictWardVillagesTotal Beneficiaries
TangaTanga250
Handeni250
Pangani250
Kilindi250
Mkinga250
 Direct BeneficiariesIndirect Beneficiaries
Female50050000
Male75075000
Total1250125000

Project Outputs and Activities

Kuwa na uhusiano mzuri baina ya Viongozi: Wabunge, madiwani, wenyeviti wa vijiji/mtaa watendaji katika Majimbo/Wilaya
Kufanya Midahalo ya wananchi na viongozi katika Majimbo 5, Kilindi, Pangani, Handeni, Tanga na Mkinga.
Kuendesha Midahalo ya wananchi na viongozi kuhusu Mahusiano kati ya wananchi na viongozi wa kuchaguliwa katika Majimbo 5, Mkinga. Tanga, Kilindi, Pangani na Handeni iliendeshwa Kati ya Mwezi March na April 2012
(No Response)
1. Kuendesha Midahalo Pangani, Kilindi, Mkinga, Handeni na Tanga 33,200,000

2. Ghalama za Utawala 4,161,000

Project Outcomes and Impact

Kuwa na mahusiano mazuri baina ya viongozi (wabunge, madiwani, wenye viti wa mitaa na watendaji) na wananchi katika Jimbo/Wilaya
1. Wananchi kudai kuwa na Mikataba na viongozi wa kuchaguliwa ili wakiivunja wananchi waweze kuchukua hatua
2.wananchi kuwa na hamasa kubwa yakufanya ufuatiliaji wa uwajibikaji wa viongozi wao kwa wananchi
3. waheshimiwa wabunge na madiwani kuanza kuwa karibu na wananchi wao, wakihofia kwamba wananch wamekuwa na uelewa zaidi juu ya haki zao
TASCO kuwa karibu na viongozi wa majimbo/Wilaya ambapo imeombwa kufika katika ngazi za kata ili kuwahamasisha wananchi kushiriki katika michakato ya maendeleo na kuwawajibisha viongozi ambao hawaendi sawasawa na wajibu wao kama viongozi kiupitia mikutano ya Vijiji
(No Response)

Lessons Learned

Explanation
Wananchi wengi hawakuwa wakishiriki mikutano ya vijiji inapoitishwa, mfano Wilaya ya Mkinga walijisuta wenyewe na kusema kwamba sasa watakuwa mstali wa mbele
Madiwani wengi hawajui wajibu wao katika ofisi wengi wanawalaumu watendaji wa Kata kwamba hawawapi taarifa za miradi
Wenyeviti wa vijiji hawajui kwa usahihi majukumu yao, wengi wameomba kueleweshwa kwa uwazi majukumu yao ili waweze kwenda na wakati
Waheshimiwa wabunge hawako karibu na wananchi wao, mfano mzuri ni Mbunge wa Pangani, hajawahi kuitisha kikao na wananchi wa Jimbo la Pangani

Challenges

ChallengeHow it was overcome
Madiwani walidai kulipwa wanaposhiriki midahaloTuliwakumbusha kwamba tunaasidia kuwakutanisha na wananchi wao, hivyo walipaswa kushukuru badala ya kudai kulipwa posho ya kushiriki
Mkurugenzi wa halmashauri ya Handeni alipinga kuendeshwa kwa mdahalo katika Wilaya ya Handeni, kwa madai ya kwamba hatukuwa na kibali cha kuendesha mdahalotulimwambia hatukuwa na haja ya kibali kwa kuwa tunafanyia ukumbini na Mwanye hoteli alituambia nafasi ipo kwa hiyo hatukuwa na haja ya Kibali, aidha tulimfundisha sheria kwamba vibali hata kama vinaombwa si kwa Mkurugenzi bali kwa polisi ambao ndio wanaolinda usalama kama vurugu itatokea

Linkages

StakeholderHow you worked with them
Asasi za Wilaya?Jimbo husikaKutupa uzoefu wa eneo (venue) ambayo ni maridhawa kwa Jimbo husika
Waheshimiwa Wabunge/makatibu waoKupanga ratiba kulingana na ratiba za wabunge katika jimbo
Wakuu wa WilayaKatika wilaya zote wamekuwa Wageni rasmi katika Kufungua midahalo

Future Plans

Activities Planned1st Month2nd Month3rd Month
Midahalo juu ya Mabadiliko ya tabia nchiv
Tathmini na ufuatiliajivv

Beneficiaries Reached

    Direct BeneficiariesIndirect Beneficiaries
WidowsFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
People living with HIV/AIDSFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
ElderlyFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
OrphansFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
ChildrenFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
DisabledFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
YouthFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
OtherFemale50050000
Male75075000
Total1250125000
(No Response)

Events Attended

Type of EventWhenLessonsActions Taken
Information session September 2009namna ya kuandika miradi inayofadhiliwa na FCSTumeandika Miradi ambayo tulifanikiwa kupata ufadhili toka FCS
Annual forum 2009,2010 and2011Kujifunza toka kwa washiriki wengine namana wanavyo tekeleza miradiyao kwa ufanisiKuboresha maeneo ambayo yalikuwa hayako vizuri sana katika utekelezaji wa miradi kulingana na kulingana na mambo chanya tuliyojifunza kutoka kwa washiriki wenzetu
Simamia mradi wakoDecember 2010Namana ya kusimamia mradi kwa ufanisi na kutoa taarifa zilizo boraKusimamia miradi vizuri kulingana na stadi tulizo pata kwenye mafunzo
Mafunzo ya kushirikishana uzoefu miongoni mwa wafadhiliwa wa FCSSeptember 2011Utunzaji wa VitabuKuboresha na kufanya marekebisho chanya kwenye mfumo wetu wa fedha kulingana na tulicho jifunza

Attachments

FCS Narrative Report

Introduction

Tanga Civil Societies Coalition
TASCO
Kuimalisha Uhusiano na Uwajibikaji wa Wabunge kwa Wananchi katika ngazi ya Majimbo
FCS/MG/SC/11/008
Dates: December 2011-February 2012Quarter(s): Kwanza
David Chanyeghea

Project Description

Governance and Accountability
Kuendesha Midahalo ya wananchi katika Majimbo 5 ya Mkoa wa Tanga, Pangani, Kilindi, Mkinga, Handeni na Tanga. Ambapo wananchi wanapata fursa ya kuongea na viongozi wao na kuchangia mawazo ya nini kifanyike katika kuimarisha mahusiano na kutatua matatizo yanayo wakabili katika Jimbo husika, mbali na washiriki wa midahalo lakini pia kutumia vyombo vya habari (Radio) ambayo wanachi wanapata fursa ya kusikia mdahalo ukiendeshwa moja kwa moja
RegionDistrictWardVillagesTotal Beneficiaries
TangaTanga250
Kilindi250
Handeni250
Pangani250
Mkinga250
 Direct BeneficiariesIndirect Beneficiaries
Female50050000
Male75075000
Total1250125000

Project Outputs and Activities

Kuwa na uhusiano mzuri baina ya Viongozi: Wabunge, madiwani, wenyeviti wa vijiji/mtaa watendaji katika Majimbo/Wilaya
Kufanya Midahalo ya wananchi na viongozi katika Majimbo 5, Kilindi, Pangani, Handeni, Tanga na Mkinga.
Midahalo ya Mchakato wa katiba mpya Tanzania katika Majimbo 5, Mkinga. Tanga, Kilindi, Pangani na Handeni iliendeshwa Kati ya Mwezi Januari na February 2012
(No Response)
1. Kuendesha Midahalo Pangani, Kilindi, Mkinga, Handeni na Tanga 33,200,000

2. Ghalama za Utawala 4,161,000

Project Outcomes and Impact

Kuwa na mahusiano mazuri baina ya viongozi (wabunge, madiwani, wenye viti wa mitaa na watendaji) na wananchi katika Jimbo/Wilaya
1. Uelewa wa wananchi kuhusu katiba umeongezeka. Wananchi wamejiandaa vyema kutoa maoni yao siku tume ya kukusanya maoni itakapo tembelea majimbo yao

2. Vipaumbele vya wananchi kuhusiana na Mchakato wa katiba mpya kuingizwa kwenye katiba
1. Hamasa waliyonayo wananchi katika kuleta mabadiliko kupitia katiba

2. wananchi kutokuwa na uwoga tena kuongea mbele ya viongozi wao
(No Response)

Lessons Learned

Explanation
Wananchi wengi hawakuwa wakiijua katiba, mfano mwanachi mmoja katika jimbo la Pangani aliiomba katiba kutoka kwa Muwezeshaji ili angalau aiguse kwa mkono wake naa baadae aliibusu
Viongozi wa Kuchaguliwa kutokuwa na muda wakujadiliana masuala mbalimbali na wanachi wao
Wabunge wengi si wawajibikaji katika Majimbo yao, mfano mzuri ni Mbunge wa Pangani ambaye hata wananchi walilalamika kutomuona kwenye mdahalo huo na kusema ndivyo alivyo
Viongozi wanaogopa kuizungumzia katiba, mfano Mkuu wa Mkoa wa Tanga alikimbia siku ya mwisho kufungua Mdahalo, kwa sababu ambazo awali alisema yuko sagfarini, lakini kwa kuwa tulifanyia mdahalo kwenye Jengo la ofisi yake tulimuona tulipo fika, Mdahalo ulipo anza aliondoka, Mkuu wa Wilaya ya pangani awali alizuia mdahalo usifanyike baada ya kupata taarifa kwa mwenzake wa Korogwe na Kilindi kwamba midahalo ilikuwa na mafundisho mazuri kwao, alituita kufanya katika Wilaya yake na kukiri mwenyewe kwamba awali alikuwa na wasiwasi

Challenges

ChallengeHow it was overcome
Washirki kutaka kulipwa nauli ya wanako tokaTuliwaeleza kinaga ubaga kwamba hatuna hiyo bajeti, lakini pia kwamba kushiriki kwao ni kwa faida yao na watoto wao
Baadhi ya wabunge kutoshiriki hata baada ya kukubaliana tarehe ya Mdahalo kabla ya kuwaandikiaKwenye majimbo yao tulifanya bila wao kuwepo
Madiwani kutoshiriki katika Midahalo kwakuwa haina poshoTumewashitaki kwa wapiga kura wao na sisi kuendelea na mdahalo bila wawao kuwepo

Linkages

StakeholderHow you worked with them
Asasi za Wilaya/Jimbo husikaKutupa uzoefu wa eneo (venue) ambayo ni maridhawa kwa Jimbo husika
Wabunge/Makatibu wa WabungeKupanga ratiba kulingana na ratiba za wabunge katika jimbo
Wakuu wa WilayaKatika wilaya zote wamekuwa Wageni rasmi katika Kufungua midahalo

Future Plans

Activities Planned1st Month2nd Month3rd Month
Midahalo ya Ushiriki na mahusiano kati ya wananchi na Wabunge, madiwani na wenyeviti wa Vijiji/mitaa katika maeneo yaov

Beneficiaries Reached

    Direct BeneficiariesIndirect Beneficiaries
WidowsFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
People living with HIV/AIDSFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
ElderlyFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
OrphansFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
ChildrenFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
DisabledFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
YouthFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
OtherFemale50050000
Male75075000
Total1250125000
(No Response)

Events Attended

Type of EventWhenLessonsActions Taken
information sesion September 2009namna ya kuandika miradi inayofadhiliwa na FCSTumeandika Miradi ambayo tulifanikiwa kupata ufadhili toka FCS
Annual Forum2009,2010 nq 2011Kujifunza toka kwa washiriki wengine namana wanavyo tekeleza miradiyao kwa ufanisiKuboresha maeneo ambayo yalikuwa hayako vizuri sana katika utekelezaji wa miradi kulingana na kulingana na mambo chanya tuliyojifunza kutoka kwa washiriki wenzetu
Simamia mradi wakoDecember 2010Namana ya kusimamia mradi kwa ufanisi na kutoa taarifa zilizo boraKusimamia miradi vizuri kulingana na stadi tulizo pata kwenye mafunzo
Mafunzo ya kushirikishana uzoefu miongoni mwa wafadhiliwa wa FCSSeptember 2011Utunzaji wa VitabuKuboresha na kufanya marekebisho chanya kwenye mfumo wetu wa fedha kulingana na tulicho jifunza

Attachments

FCS Narrative Report

Introduction

Tanga Civil Societies Coalition
TASCO
The Broader Public Engagement in social accountability Development monitoring of Public and private Sectors Services Providers in Korogwe and Muheza Districts
FCS/MG/3/10/023
Dates: July to SeptemberQuarter(s): 3 2011
David Chanyeghea

Project Description

Governance and Accountability
Empowering Citizens to participate in decision making process so that they can hold government accountable in Korogwe and Muheza District, further more we used citizen score card to evaluate and monitor the services providing by government in Korogwe and Muheza district, specifically in health and education sector
RegionDistrictWardVillagesTotal Beneficiaries
TangaMuheza36187
Korogwe36430
 Direct BeneficiariesIndirect Beneficiaries
Female2792790
Male3383380
Total6176170

Project Outputs and Activities

Increased awareness of 120 Districts wards based SAM oversight management and monitoring team by the end of the project
Conducting public sectoral provider performance assessment Citizen report card in the Muheza and Korogwe districts

2. Monitoring and Evaluation
1. public sectoral provider performance assessment Citizen report card in conducted in 6 villages from each 3 wards of Muheza and Korogwe districts

2. Conducting be annual PETS in Muheza District

3. Monitoring and evaluation conducted
PETS has stated, but we stack some where in Muheza District, they refused to give us information in time, the activity now is in progress, we had to go back to the Regional Administrative Secretary for assistance
1. public sectoral provider performance assessment Citizen report card 1,839,400

2. PETS 4,900,500

3. Monitoring and Evaluation 481,500

Project Outcomes and Impact

Improve public coordination practices in the social accountability monitoring and public expenditure tracking survey in Muheza and Korogwe
Improve public/private sector services providers accountability to the public services delivery in Muheza and Korogwe districts
1.Establishment of 6 groups on social monitoring accountability in 6 villages of Muheza and Korogwe district
2. Citizens started to make followup on issues affecting their life, example citizen of Mindu requested assistance to formulate action plan, so that they can start to truck issues of accountability in the schools and health centers, Citizen of Kelenge holding the head teacher who has been beaten by teacher until he admitted in the Magunga District Hospital in Korogwe
(No Response)

Lessons Learned

Explanation
Fear of government to be investigated on issues of money
Villagers are understand many things of government, including governments promises in their localities, unfortunately they did not have platform where they can address their issues or where they remind government about their promises
Trust of citizens for their leaders has been decreased, as they refused any village leader to be included in their committees

Challenges

ChallengeHow it was overcome
We did not given cooperation to get information for PETS activities, which caused us to postpone PETS activity Postpone PETS activity to next quarter and went back to Regional level to seek assistance
Citizens in villages are not trust NGOs, as there were some NGOs went to their villages to get information, and they never back for feed back and or deal with issues they raised We told them TASCO is deference will go with them shoulder by shoulders until the changes happen
Fund are very limited, as those groups need some money to make follow up of issues in their villages (funds for stationary, refreshment and transporter)promised to assist on issues of stationary and transport, we also assist volunteerism spirit so that we can reach the together

Linkages

StakeholderHow you worked with them
Local government of Korogwe and Muheza Districtassist us during PIMA card and they gave us permition to work in their area
Korogwe Civil Societies CoalitionIdentification of wards and pre-mobilization
Muheza Civil Society CoalitionMobilization and its members assisting us in the field, where we never been before

Future Plans

Activities Planned1st Month2nd Month3rd Month
Training workshop to public sector service providers on social accountability monitoring v
Conducting be annual Public expenditure trucking survey vv
Quarterly public Sectors service provider performance assistance assessment citizen reports cardv
Monitoring and evaluation v

Beneficiaries Reached

    Direct BeneficiariesIndirect Beneficiaries
WidowsFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
People living with HIV/AIDSFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
ElderlyFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
OrphansFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
ChildrenFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
DisabledFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
YouthFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
OtherFemale2792790
Male3383380
Total6176170
(No Response)

Events Attended

Type of EventWhenLessonsActions Taken
information session July 2007 and September 2009How to write proposal for fund from FCSThree proposals sent to FCS and funded
Annual forum2009, 2010 and 2011 experience exchange from other organizationImproving TASCO work according what we lent positively from others and from presentations made by facilitators
Manage your grantDecember 2010 How to manage project and reportingpositive supervision of the project and addthere with the skills we got from training
Experience sharing September 2011Book keeping Make some positive changes in our financial system

Attachments

FCS Narrative Report

Introduction

Tanga Civil Societies Coalition
TASCO
The Broader Public Engagement in social accountability Development monitoring of Public and private Sectors Services Providers in Korogwe and Muheza Districts
FCS/MG/3/10/023
Dates: Apri to June 2011Quarter(s): quarter 2
David Chanyeghea, chanyeghea@yahoo.com, Tel 0272645240, P.O.BOX 5344, Tanga

Project Description

Governance and Accountability
Impowering Citizens to participate in decision making process so that to hold government accountable in Korogwe and Muheza District, further more we used citizen score card to evaluate and monitor the services providing by government in Korogwe and Muheza district, specifically in health and education sector
RegionDistrictWardVillagesTotal Beneficiaries
TangaKorogweMomboJitengeni, Chekelei 100 people inteviwered
MuhezaMasuguru, Bombani and LusangaLusanga, A,B and C, Masuguru100 people interviewed
 Direct BeneficiariesIndirect Beneficiaries
Female50400
Male50300
Total100700

Project Outputs and Activities

Increased awareness of 120 Districts wards based SAM oversight management and monitoring team by the end of
1. conducting public sectoral provider performance assessment Citizen report card in the Muheza and Korogwe districts

2. Monitoring and Evaluation
1. public sectoral provider performance assessment Citizen report card in conducted in 6 villages of from 3 wards of Muheza and Korogwe districts
2 Monitoring and evaluation conducted
(No Response)
1. public sectoral provider performance assessment Citizen report card in conducted in 6 villages of from 3 wards of Muheza and Korogwe districts 1,839,400

2 Monitoring and evaluation conducted 481,500

Project Outcomes and Impact

improve public coordination practices in the social accountability monitoring and public expenditure tracking survey in Muheza and Korogwe District by December 2011
Improve public/private sector services providers accountability to the public services delivery in Muheza and Korogwe districts
it is earl to see the real outcome/changes, but the project gave us to understand the situation in those areas, where we interviewed 200 people and observing the situation in those areas, (see photos)
(No Response)

Lessons Learned

Explanation
poor services in health and education in the local community level (see photos and separate implantation report)
rigidness of local leaders in community service provision, example in Makuyuni executive officer stop us to interview community and Hale ward WEO refused to work with TASCO if we engage citizen in the project, he wanted us to interview leaders only
Citizen have solution for their problems, but they are not listened by local leaders
promises of Member of parliaments and councilors are not fulfilled

Challenges

ChallengeHow it was overcome
working with local leaders in this project, some of them turned to be enemy Seek assistant from District council, lobbying and telling them how the project will help to improve education and health services in their area
Some of interviewed people claimed for paymentWe explained to them, that they are part of the project and we implement it for their own benefit and the entire community

Linkages

StakeholderHow you worked with them
Local government of Korogwe and Muheza Districtassist us during PIMA card and they gave us permition to work in their area
Korogwe Civil Societies CoalitionIdentification of wards and pre-mobilization
Muheza Civil Society CoalitionMobilization and its members assisting us in the field, where we never been before

Future Plans

Activities Planned1st Month2nd Month3rd Month
Conducting public sector service providers performance and assessment citizen report card Ougust 2011
conducting bi annual PETS in Muheza and Korogwe DistrictsSeptember 2011


Monitoring and evaluation
End of September 2011

Beneficiaries Reached

    Direct BeneficiariesIndirect Beneficiaries
WidowsFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
People living with HIV/AIDSFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
ElderlyFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
OrphansFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
ChildrenFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
DisabledFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
YouthFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
OtherFemale100400
Male100300
Total200700
General population

Events Attended

Type of EventWhenLessonsActions Taken
information session July 2007 and September 2009How to write proposal for fund from FCSThree proposals sent to FCS and funded
Annual forum 2009 and 2011experience exchange from other organization Improving TASCO work according what we lent positively from others and from presentations made by facilitators
Manage your grantDecember 2010How to manage project and reporting positive supervision of the project and addthere with the skills we got from training

Attachments