Envaya

Tanga Civil Societies Coalition

FCS Narrative Report

Parts of this page are in Swahili. Edit translations

FCS Narrative Report

Introduction

Tanga Civil Societies Coalition
TASCO
Kuimalisha Uhusiano na Uwajibikaji wa Wabunge kwa Wananchi katika ngazi ya Majimbo
FCS/MG/SC/11/008
Dates: March to May 2012Quarter(s): 2
David Chanyeghea

Project Description

Governance and Accountability
Kuendesha Midahalo ya wananchi katika Majimbo 5 ya Mkoa wa Tanga, Pangani, Kilindi, Mkinga, Handeni na Tanga. Ambapo wananchi wanapata fursa ya kuongea na viongozi wao na kuchangia mawazo ya nini kifanyike katika kuimarisha mahusiano na kutatua matatizo yanayo wakabili katika Jimbo husika, mbali na washiriki wa midahalo lakini pia kutumia vyombo vya habari (Radio) ambayo wanachi wanapata fursa ya kusikia mdahalo ukiendeshwa moja kwa moja
RegionDistrictWardVillagesTotal Beneficiaries
TangaTanga250
Handeni250
Pangani250
Kilindi250
Mkinga250
 Direct BeneficiariesIndirect Beneficiaries
Female50050000
Male75075000
Total1250125000

Project Outputs and Activities

Kuwa na uhusiano mzuri baina ya Viongozi: Wabunge, madiwani, wenyeviti wa vijiji/mtaa watendaji katika Majimbo/Wilaya
Kufanya Midahalo ya wananchi na viongozi katika Majimbo 5, Kilindi, Pangani, Handeni, Tanga na Mkinga.
Kuendesha Midahalo ya wananchi na viongozi kuhusu Mahusiano kati ya wananchi na viongozi wa kuchaguliwa katika Majimbo 5, Mkinga. Tanga, Kilindi, Pangani na Handeni iliendeshwa Kati ya Mwezi March na April 2012
(No Response)
1. Kuendesha Midahalo Pangani, Kilindi, Mkinga, Handeni na Tanga 33,200,000

2. Ghalama za Utawala 4,161,000

Project Outcomes and Impact

Kuwa na mahusiano mazuri baina ya viongozi (wabunge, madiwani, wenye viti wa mitaa na watendaji) na wananchi katika Jimbo/Wilaya
1. Wananchi kudai kuwa na Mikataba na viongozi wa kuchaguliwa ili wakiivunja wananchi waweze kuchukua hatua
2.wananchi kuwa na hamasa kubwa yakufanya ufuatiliaji wa uwajibikaji wa viongozi wao kwa wananchi
3. waheshimiwa wabunge na madiwani kuanza kuwa karibu na wananchi wao, wakihofia kwamba wananch wamekuwa na uelewa zaidi juu ya haki zao
TASCO kuwa karibu na viongozi wa majimbo/Wilaya ambapo imeombwa kufika katika ngazi za kata ili kuwahamasisha wananchi kushiriki katika michakato ya maendeleo na kuwawajibisha viongozi ambao hawaendi sawasawa na wajibu wao kama viongozi kiupitia mikutano ya Vijiji
(No Response)

Lessons Learned

Explanation
Wananchi wengi hawakuwa wakishiriki mikutano ya vijiji inapoitishwa, mfano Wilaya ya Mkinga walijisuta wenyewe na kusema kwamba sasa watakuwa mstali wa mbele
Madiwani wengi hawajui wajibu wao katika ofisi wengi wanawalaumu watendaji wa Kata kwamba hawawapi taarifa za miradi
Wenyeviti wa vijiji hawajui kwa usahihi majukumu yao, wengi wameomba kueleweshwa kwa uwazi majukumu yao ili waweze kwenda na wakati
Waheshimiwa wabunge hawako karibu na wananchi wao, mfano mzuri ni Mbunge wa Pangani, hajawahi kuitisha kikao na wananchi wa Jimbo la Pangani

Challenges

ChallengeHow it was overcome
Madiwani walidai kulipwa wanaposhiriki midahaloTuliwakumbusha kwamba tunaasidia kuwakutanisha na wananchi wao, hivyo walipaswa kushukuru badala ya kudai kulipwa posho ya kushiriki
Mkurugenzi wa halmashauri ya Handeni alipinga kuendeshwa kwa mdahalo katika Wilaya ya Handeni, kwa madai ya kwamba hatukuwa na kibali cha kuendesha mdahalotulimwambia hatukuwa na haja ya kibali kwa kuwa tunafanyia ukumbini na Mwanye hoteli alituambia nafasi ipo kwa hiyo hatukuwa na haja ya Kibali, aidha tulimfundisha sheria kwamba vibali hata kama vinaombwa si kwa Mkurugenzi bali kwa polisi ambao ndio wanaolinda usalama kama vurugu itatokea

Linkages

StakeholderHow you worked with them
Asasi za Wilaya?Jimbo husikaKutupa uzoefu wa eneo (venue) ambayo ni maridhawa kwa Jimbo husika
Waheshimiwa Wabunge/makatibu waoKupanga ratiba kulingana na ratiba za wabunge katika jimbo
Wakuu wa WilayaKatika wilaya zote wamekuwa Wageni rasmi katika Kufungua midahalo

Future Plans

Activities Planned1st Month2nd Month3rd Month
Midahalo juu ya Mabadiliko ya tabia nchiv
Tathmini na ufuatiliajivv

Beneficiaries Reached

    Direct BeneficiariesIndirect Beneficiaries
WidowsFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
People living with HIV/AIDSFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
ElderlyFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
OrphansFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
ChildrenFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
DisabledFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
YouthFemale(No Response)(No Response)
Male(No Response)(No Response)
Total(No Response)(No Response)
OtherFemale50050000
Male75075000
Total1250125000
(No Response)

Events Attended

Type of EventWhenLessonsActions Taken
Information session September 2009namna ya kuandika miradi inayofadhiliwa na FCSTumeandika Miradi ambayo tulifanikiwa kupata ufadhili toka FCS
Annual forum 2009,2010 and2011Kujifunza toka kwa washiriki wengine namana wanavyo tekeleza miradiyao kwa ufanisiKuboresha maeneo ambayo yalikuwa hayako vizuri sana katika utekelezaji wa miradi kulingana na kulingana na mambo chanya tuliyojifunza kutoka kwa washiriki wenzetu
Simamia mradi wakoDecember 2010Namana ya kusimamia mradi kwa ufanisi na kutoa taarifa zilizo boraKusimamia miradi vizuri kulingana na stadi tulizo pata kwenye mafunzo
Mafunzo ya kushirikishana uzoefu miongoni mwa wafadhiliwa wa FCSSeptember 2011Utunzaji wa VitabuKuboresha na kufanya marekebisho chanya kwenye mfumo wetu wa fedha kulingana na tulicho jifunza

Attachments

« Previous

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.