MIMI MOTTO SAYI WA BARIADI TZ,NIMEFARIJIKA SANA KWA KUTEMBELEWA NA UONGOZI WA KITAIFA WA MALIHAI,HAPA CHUONI SAUT-MTWARA,KARIBUNI SANA ,TUNAWAPENDA SANA,
WENU,MOTTO,SAYI,M/KITI MALIHAI SAUT
Gari nazo huchafua hewa hata kama ni nzuri kiasi gani,hivyo twapaswa kuwa makini nazo
Malihai STEMMUCO tunapenda kuwakaribisha viongozi wa malihai taifa mama yetu na mr.kazungu hapa Mtwara,wiki hii nadhani itakuwa ni wiki ya mbaraka kwa mtwara maana taifa limehamia kusini.Jisikieni nyumbani.Long live malihai.Motto,sayi(chairman malihai@SAUT-MTWARA)
AFISA Malihai Club of Tanzania(MCT)CHINI YA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII TOKA MAKAO MAKUU ARUSHA AKIMKABIDHI VYETI MKUU WA CHUO KWA WAHITIMU WA MWAKA WA TATU 2009/2012. WAKWANZA KUSHOTO NI MWALIMU MLEZI WA STEMMUCO MALIHAI CLUB
Wanakikundi wa malihai waliohitimu shahada katika chuo cha STEMMUCO (Stella Maris Mtwara University College) walikabidhiwa vyeti vya Malihai kama uthibitisho wa ushiriki wao na utambuzi wa mchango wao katika shughuli mbalimbali za kimazingira mkoani Mtwara.