Wanakikundi wa malihai waliohitimu shahada katika chuo cha STEMMUCO (Stella Maris Mtwara University College) walikabidhiwa vyeti vya Malihai kama uthibitisho wa ushiriki wao na utambuzi wa mchango wao katika shughuli mbalimbali za kimazingira mkoani Mtwara.
8 Desemba, 2012
Maoni (3)
Wanamalihai STEMMUCO,Tunaomba wanachama wapya wa malihai mwaka wa 1,2,3 na masters waweze kujiunga na malihai ili tuweze kujumuika pamoja ktk mazngira