Bango la utambulisho wa Shughuli ya Mradi wa Kuandaa Mpango Mkakati wa Miaka mitano wa Pwani-DPA,iliyoandaliwa kwa Ufadhili wa The Foundation for Civil Society
FCS Narrative Report
Introduction
Dates: 21 Disemba, 2010 | Quarter(s): 31 Machi,2011 |
Project Description
Region | District | Ward | Villages | Total Beneficiaries |
---|---|---|---|---|
Pwani | KibahaKibaha,Kisarawe,Mkuranga, | Zote za Wilaya za Mkoa wa Pwani | Vyote vya kata za Wilaya za Mkoa wa Pwani | Wanufaika wa |
Direct Beneficiaries | Indirect Beneficiaries | |
---|---|---|
Female | 9 | (No Response) |
Male | 16 | (No Response) |
Total | 25 | (No Response) |
Project Outputs and Activities
•Kuainisha ukumbi na kuthibitisha
•Kualika Washiriki
•Kuandaa na kuendesha warsha ya Siku tano (5) ya kuandaa mpango Mkakati wa miaka mitano 2011-2015
•Kuandaa taarifa ya utekelezaji wa Mradi
•Gharama za Utawala
•Mawasiliano kwa njia simu na Mazunguzo,Idadi ya watu waliohusika ni Mtu mmoja (1)
•Kuandaa barua za Mialiko na kuzisambaza kwa Washiriki wa Warsha,Idadi ya Watu waliohusika ni watatu (3)
•Mafunzo ya staidi za uandaaji wa Mpango Mkakati kwa Kupitia Maana ya Mpango Mkakati, Malengo, Dira Dhamira,Amali za Asasi, Masuala na Vipaumbele na Mpango Kazi wa Mwaka, Idadi ya Watu waliohusika ni Ishirini na tano (25)
•Kujaza fomu za utoaji wa Taarifa ya Utekelezaji na Fedha,idadi ya watu waliohusika ni wane (4)
•Kulipa posho kwa mratibu na mhasibu,Maji, Umeme,Idadi ya Watu waliohusika na Wanne (4
• Mawasiliano kwa njia simu na Mazunguzo,Idadi ya watu waliohusika ni Mtu mmoja (1)
•Kuandaa barua za Mialiko na kuzisambaza kwa Washiriki wa Warsha,Idadi ya Watu waliohusika ni watatu (3)
•Mafunzo ya staidi za uandaaji wa Mpango Mkakati kwa Kupitia Maana ya Mpango Mkakati, Malengo, Dira Dhamira,Amali za Asasi, Masuala na Vipaumbele na Mpango Kazi wa Mwaka, Idadi ya Watu waliohusika ni Ishirini na tano (25)
•Kujaza fomu za utoaji wa Taarifa ya Utekelezaji na Fedha,idadi ya watu waliohusika ni wane (4)
•Kulipa posho kwa mratibu na mhasibu,Maji, Umeme,Idadi ya Watu waliohusika na Wanne (4)
Project Outcomes and Impact
•Kuwa na mwoongozo utakaotumika kushirikisha wadau katika hatua ya Utekelezaji
•Utekelezaji wa malengo ya asasi kwa Kuzingatia vipaumbele vya Walengwa, Wadau na Mpiango/Mikakati ya Kitaifa
•Viongozi,Wanachama, Watumishi na wadau kutambua mchakato wa uaandaji wa Mpango Mkakati
•Kuongezeka kwa Kiwango cha uwajibikaji wa Watumishi, Viongozi na Wanachama katika majukumu na Shughuli za Asasi
•Kuimarika kwa Upashanaji habari zinazohusiana na mipango ya maendeleo kutoka ofisi za Mipango katika ngazi ya Mkoa na Halmashauri za Wilaya
Lessons Learned
Explanation |
---|
Mradi huu wa Kuandaa Mpango mkakati wa asasi umeonekana ni Mradi muhimu sana si kwa asasi changa kitaasisi kama Pwani-DPA tu bali kwa asasi yoyote yenye dhamira njema ya kuchangia kuleta mabadiliko ya kimaendeleo katika sekta yeyote ile na hili lilijidhihirisha wazi kwa Washiriki wa warsha hii,ambao walitoa ushuhuda kwamba ushiriki wao haukuwa tu kutoa mchango wa mawazo kuhusu mwelekeo wa Pwani-DPA bali wamejitambua umuhimu wa kuwa na mpango Mkakati katika asasi zao kwani asasi njingi zilionesha kutekeleza mipango na malengo ya asasi zao bila kuwa na Mpango Mkakati jambo ambalo linapelekea kutokuwa na fursa ya kupima ufanisi na Mafanikio ya Asasi kwa Kipindi fulani |
Umuhimu wa Kujenga mahusiano mazuri yenye mwelekeo wa Kimaendeleo na wadau hasa serikali na asasi zake, hili lilijidhihirisha wazo wakati afisa mipango wa Mkoa wa Pwani Bw. Brown Kintungi na Meneja wa SIDO Mkoa Bi. Agness Yessaya walipokuwa wanachangia katika mjadala wa Warsha ya kuandaa Mpango Mkakati wa Miaka Mitano wa Pwani-DPA,Walisema,"Kimsingi serikali inatambua mchango mkubwa unaotolewa na Asasi za Kiraia katika kuchochea maendeleo katika sekta mbalimbali la msingi ni kuwa na mipango mizuri ambayo inaweza kuhusishwa katika mipango ya Maendeleo katika ngazi ya Mkoa na Halmashauri za Wilaya nanyi kama asasi mkasaidia katika ngazi ya Utekelezaji na Serikali ikafanya kazi ya Uratibu tu" |
Changamoto kwa asasi za Kiraia hasa zile Changa Kitaasisi kama Pwani-DPA,kuandaa majarida yatakayosaidia kusambaza kazi zinazofanyika kwa walengwa na wadau ili kujitangaza zaidi na kutambuliwa katika maeneo ya utekelezaji wa Programu na Miradi mbalimbali |
Umuhimu wa kujenga uwezo wa mapato ya ndani ya asasi kwa ajili ya uendelevu wa utekelezaji wa malengo ya asasi |
Katika hatua ya utekelezaji wa Masuala na Malengo ya Pwani-DPA,kupitia warsha ya kuandaa Mpango Mkakati wa miaka mitano 2011-2015 kwa Mkoa wa Pwani tumeazimia kuwekeza katika kujenga uelewa wa jamii kwa maana ya kujitambua na kudai haki zao katika mchakato wa Maendeleo kupitia majukwaa ya Mijadala ya Maendelea na Sera itakayoitwa Sera na Maendeleo " SEMA" majukwaa ya mijadala hii ya kila mwezi yatanzishwa na kuendelezwa katika makao makuu ya Wilaya zote za Mkoa wa Pwani lengo ikiwa ni kuwaleta pamoja wananchi na Viongozi wao katika ngazi ya Wilaya kujadili utekelezaji wa mipango ya maendeleo katika maeneo na yanayojitokeza kuwasilishwa kwenye mamlaka husika kwaajili ya kutafutiwa Ufumbuzi |
Challenges
Challenge | How it was overcome |
---|---|
Kuchelewa kupatika kwa Ruzuku kwa wakati kulingana na mzunguko wa Mradi kwa mujibu wa Mwoongozo wa Ruzuku | Kusubiri maelekezo na taarifa mbalimbali zinazohusiana na mchakato wa Ruzuku kutoka FCS |
Washiriki wengi kuliko lengo letu kuvutiwa kushiriki warsha na Mafunzo ya uandaaji Mpango Mkakati | Kuwaruhusu kushiriki kwa kugharamia wenyewe baadhi ya gharama zilizokuwa nje ya uwezo wa Mradi |
Mfumuko wa bei uliathiri kwa kiasi Fulani bajeti ya shughuli za Mradi | Asasi ilichangia baadhi ya gharama ya Shughuli za Mradi |
Linkages
Stakeholder | How you worked with them |
---|---|
Ofisi ya Katibu Tawala wa Mkoa (RAS) 1 | Kushiriki kwa Afisa Mipango wa Mkoa Bw. Brown Kintungi katika ufunguzi wa Warsha akiwa Mgeni Rasmi kwa Kutoa hotuba ambayo imetupa mwelekeo mpya wa kuimarisha na kuborsha ushirikiano na Serikali katika ngazi ya Mkoa katika utekelezaji wa Malengo asasi |
Ofisi ya SIDO (M) Pwani | Ushiriki wa Meneja wa SIDO (M) Bi. Agness Yessaya katika warsha ya Siku tano ya kuandaa mpango mkakati wa Pwani-DPA na kutoa mchango wa mawazo kuhusu hursa ya Pwani-DPA kushirikiana na SIDO katika kuchangia kupunguza umasikini wa Kipato kwa Wanawake na Vijana kupitia shughuli za kujiongezea kipato |
Halmashauri ya Mji wa Kibaha | Ushiriki wa Afisa Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha, Bi.Siwema Cheru na Kutoa mchango wa Mawazo kuhusu fursa ya Pwani DPA kushiriki na kuchangia kuhamasisha na kuinua ushiriki wa Wananchi katika mikutano ya mipango ya Maendeleo katika maeneo yao |
Community Development Agenda Countrywide (CDAC) | Kushiriki kwa M/kiti mtendaji wa CDAC akiwa Mtaalamu/Mshauri wa Kuongoza mchakato mzima wa uaandaaji wa Mpango Mkakati wa Miaka mitano wa Pwani-DPA |
Wawakilishi wa asasi za kiraia kutoka wilaya za Mafia ,Rufiji,Mkuranga,Kisarawe,Bagamoyo, Kibaha mjini na Vijijini | Ushiriki wao katika kutoa michango ya mawazo kuhusu masuala muhimu nay a Kipaumbele yanayopaswa kushughulikiwa na asasi za kiraia katika kipindi cha miaka mitano ijayo |
Future Plans
Beneficiaries Reached
Direct Beneficiaries | Indirect Beneficiaries | ||
---|---|---|---|
Widows | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
People living with HIV/AIDS | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Elderly | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Orphans | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Children | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Disabled | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Youth | Female | (No Response) | (No Response) |
Male | (No Response) | (No Response) | |
Total | (No Response) | (No Response) | |
Other | Female | 9 | (No Response) |
Male | 16 | (No Response) | |
Total | 25 | (No Response) |
Events Attended
Type of Event | When | Lessons | Actions Taken |
---|---|---|---|
Mafunzo ya jinsi ya kusimamia miradi inayopokea Ruzuku kutoka The Foundation for Civil Society,Ukumbi Dodoma Hotel-Dodoma | 13-17 Disemba,2010 | •Kuandaa/Kubuni miradi, Ufuatiliaji na Tathimini •Uchambuzi wa Tatizo na hatua za Mzunguko wa Mradi •Ubao wa Mantiki •Ufuatiliaji na Tathimini •Mpango Kazi •Bajeti ya Mradi •Usimamizi wa fedha •Uandishi wa taarifa | Utekelezaji wa Mradi kwa mujibu wa miongozo na Mfumo wa The Foundation for Civil Society |
Attachments
BOUT: PWANI-DPA
1.0. PWANI – DPA OVERVIEW
1.1 Pwani Development Promotion Agency (Pwani-DPA) is a non- governmental organization established in July 2007 and registered on 22 October 2009 with its main goal of promotion of developmental activities for the majority rural and urban Tanzanians, and in particular regard, to the underprivileged community of Pwani Region.
1.2. VISION:
PWANI- DPA. Envisions a healthy, well educated, prosperous and dignified Tanzanian society free from absolute poverty, environmental degradation and HIV/AIDS infections, care and support of the infected and affected, improved education, health services, economic status and friendly environment.
1.3. MISSION:
To provide strategic contribution towards support and empowerment of the needy, underprivileged and vulnerable segments of the Tanzanian population such as Pwani region, in addressing the socio-economic [health, education and environmental] challenges and needs facing them.
1.4. GOAL:
To support and empower the needy, underprivileged and vulnerable communities to address and mitigate the socio-economic, health, education and environmental problems afflicting them in order to improve their conditions of living.
1.5. OBJECTIVES:
The above Mission and Goal are translated into the following 14 main objectives:
- Address HIV/AIDS/STDs issues through information, Education and
Communication for behavior change development and empower the most vulnerable groups particularly women, youths the down- trodden and those infected and affected by HIV/AIDS and STDs in order to take appropriate steps to protect themselves and others from infection or for those already sero-converted to avoid repeated exposure;
- Provide information, education and counseling services on gender, sexual and
reproductive health to the youth, women and the community in general;
- Promote livelihood and life management skills among the community, and youths
and women in particular, through plausible facilitation techniques such as Stepping Stones, REFLECT and Life Skills;
- Promote respect of human rights of people living with HIV/AIDS;
- Solicit community support in addressing and advocating for children/youth and
women’s rights;
- Enhance and facilitate poverty eradication strategies to the underprivileged and
the down trodden;
- Enhance and develop a closer relationship between all agencies involved in
HIV/AIDS prevention, impact mitigation, counseling, poverty alleviation, environmental conservation through creation of income Generating Activities and environmental preservation programmes;
- Enhance, support and promote innovative education and communication
techniques such as Stepping Stones, REFLECT and Life Skills education through participatory research on HIV/AIDS, STIs, environmental conservation and poverty alleviation for increased awareness and development;
- Initiate, enhance, promote facilitate and support the empowerment of the
Underprivileged and down-trodden through increased social, economic and educational advancement in order to enable them attain better quality life;
- Support national, regional and international efforts in the struggle against the
spread of HIV/AIDS, environmental degradation and poverty;
- Enhance and promote poor households in accessing socio-economic facilities
such as education, health and water;
- Establishing formal & informal education institutions for quality education,
particularly for those who miss it;
- Establish a “Revolving Fund” that will provide very minimal interest loans to
youth and women groups to help them start and run income generating projects such as poultry keeping, diary cattle keeping, petty business, gardening, handcrafts, etc;
- Promote programmes in the areas of gender, development, youth and women
Economic empowerment and micro enterprises.
2.0. ORGANIZATIONAL LEADERSHIP
In order to be managed in a required manner, Pwani DPA has got an organization structure which has a hierarchy of structures and leadership as follows:
a). Organization Structure;