Log in
PRISON FELLOWSHIP TANZANIA

PRISON FELLOWSHIP TANZANIA

Iringa, Tanzania

Parts of this page are in Swahili. Edit translations

HAKI YA KUPIGA KURA KUCHAGUA VIONGOZI NCHINI TANZANIA.

PRISON FELLOWSHIP TANZANIA (IRINGA)
January 10, 2012 at 11:42 AM EAT

Ikiwa imebakia  miaka karibu minne(4) kabla  uchaguzi  mkuu wa Madiwani,Wabunge na Rais, bado idadi  kubwa  ya  wananchi walioko katika  magereza  mbalimbali nchini  hawana matumaini  ya kupiga  kura  kuchagua viongozi  wao. Wapo  ambao  ni  mahabusu  na  wengine  ni  wafungwa. Je kuna utaratibu  unaowaruhusu wafungwa ambao tarehe  ya  uchaguzi  watakuwa  wamemaliza  vifungo  vyao wataruhusiwa kupiga  kura? Je mahabusu ambao kesi  zao hazijasikilizwa na upelelezi haujakamilika, je watapata nafasi  ya kupiga  kura? (maana  wao  ni  watuhumiwa tu )Je kuna  utaratibu  wa kuruhusu  vituo vya  kupigia  kura  maeneo ya magereza na mahabusu?

David Millar (USA)
September 9, 2021 at 10:51 AM EAT

You’re so gifted on paper. God is really utilizing you in great ways. You are carrying out a superb work! It was an excellent blog! Harley Quinn Jacket Suicide Squad

Mike Rooney (USA)
September 11, 2021 at 10:13 AM EAT

Wonderful article. Fascinating to read. I love to read such an excellent article. Thanks! It has made my task more and extra easy. Keep rocking. Yellowstone Rip Jacket


Add New Message

Invite people to participate