Envaya
Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Icyongereza. Edit translations

 

UCHIMBAJI WA VISIMA VYA MKONO NA MASHINE

Jipatie KISIMA cha Maji kwa LAKI TANO.

Kutoka Asasi ya PDPR Njombe,

Gharama za mradi:
kuchimba laki 5, kama kipo ndani ya mita 25 kila mita itakayo zidi utalipia 20,000

ukihitaji kufungiwa water pump ipo ya solar milioni 1.6 ya umeme laki 6 zote zikiwa complete pamoja na instalation.

Kisima kinauwezo Wa kutoa Zaidi ya Lita 7000 kwa siku. Unaweza tumia Maji kwa mahitaji ya

 nyumbani, Kilimo cha umwagiliaji, na mifug

Kwa maelezo zaidi piga simu 0754397178 au 0652556833

20 Nyakanga, 2016
« Inyuma Ahakurikira »

Ibitekerezo (31)

Ole Philemon (Dar es salaam) bavuzeko
mmmh wakuu hanbari za muda huu nipo kibiti naomba mchanganuonwa gaharama zote za kuchimba kisima cha urefu wa 60m kwa ajili ya umwagiliaji
2 Kanama, 2016
Joseph Charles (Lindi, Tanzania) bavuzeko
Ahsante coz mnatufungulia dunia kuwa tunachotaka..
Bado napitia hii website na kuchambua fursa ipi nianze nayo
Nnashida na softcopy ya elinu ya, kilimo na ufugaji naipataje??
Mimi ni mwalimu wa sekondary pia najihususha na kilimo na ujasiria mali. Nimeona zile mashine mnazounda nimevutiwa sana..
4 Kanama, 2016
Salum Makombe (Iringa Municipal) bavuzeko
Habari, nahitaji machine ya kutengeneza mkaa ,je nikinunua na mafunzo ya uetengenezaji wa mkaa nitapata, inacost sh ngapi. Kuhusu kisima gharama hiyo inajumuisha na water survey?
8 Kanama, 2016
PRETTY DEVELOPMENT FOR POVERTY REDUCTION (via email) bavuzeko
Unaweza kupiga simu 0652556833 ukahudumiwa.
9 Kanama, 2016
Denis Vagela (Dodoma) bavuzeko
Mimi nipo Dodoma nahitaji huduma ya kuchimba kisima je nitasaidiwaje?
11 Kanama, 2016
[Siba igitekerezo]
[Siba igitekerezo]
[Siba igitekerezo]
[Siba igitekerezo]
Mercy Gideon (Dar es salaam) bavuzeko
Mimi niko dar jee naweza kupata huduma ya kuchimbiwa kisima?
15 Kanama, 2016
Jasmine (Dar es Salaam) bavuzeko
Nimeona hii taarifa na nimeipenda sana kwa kuwa nahitaji huduma ya kisima eneo la Magoza Mkuranga. Sasa nyie mpo Njombe jee gharama itabaki kuwa hiyo hiyo au itabadilika kwa sababu ya umbali pengine na field visit yaan kwenda kukagua eneo
23 Kanama, 2016
PRETTY DEVELOPMENT FOR POVERTY REDUCTION (via email) bavuzeko
Piga simu 0652556833 itakuwa hiyo hiyo
25 Kanama, 2016
mbengwa senzota (same Kilimanjaro) bavuzeko
shamba LA miti LA miaka minne kwasasa mnauzaje?au bei ni ileile ninayoiona hapa Kwa website yenu?
17 Ukuboza, 2016
Nimrod Mpaligwa (Kasulu-Kigoma) bavuzeko
Nimependa sana na nina shida na Kisima kwa ajili ya Kilimo, lakini pia ninashida na pamp za maji zinazotumia sola kwa ajili ya Kilimo. Naombeni msaada wakuu( 0752847456/0625554108)
25 Mutarama, 2017
Mpaligwa (Muyama-Buhigwe Kigoma) bavuzeko
Njooni mfungue tawi uku kwetu jamani ili neema ishuke kwa wakazi wa maeneo haya
25 Mutarama, 2017
Renhard Edward Mapile (Mbeya) bavuzeko
Jamani ndugu zangu mambo yenu mazuri tatizo namba zenu hazipatikani...napata wakati mgumu kila nikitaka kuwapigia simu.
29 Mutarama, 2017
kagome wa kagome (morogoro) bavuzeko

Mnafanya kazi nzuri ssna. Lkn mbona namba zenu hazipatilani??

6 Gashyantare, 2017 (edited 6 Gashyantare, 2017)
Wilbald (Sumbawanga ) bavuzeko
Nimewapigia ili kupata huduma yenu, simu zenu hazipatikani
Pia kuna watu kadhaa wanahitaji huduma zenu
9 Werurwe, 2017
Karunde (Dar) bavuzeko
Wapigie wanapatikana sana 0652556833
29 Werurwe, 2017
Mercy Gideon (Dar es salaam) bavuzeko
Jee bado mnatoa hii huduma ya kuchimba visima kwa bei hiyo hiyo hadi sasa ?
25 Nzeli, 2017
Mwl Philemon (Chemba) bavuzeko
kwa Dodoma vijijini mtafanya bei gani? mwenyenyumba.wordpress.com
13 Ukwakira, 2017 (edited 13 Ukwakira, 2017)
(Umuntu utazwi) bavuzeko
hizi proram za upandaji miti bado zipo mpaka sasa
3 Mutarama, 2018
LOSIOKI (IRINGA MJINI) bavuzeko
Asanteni sana kwa kuanzisha asasi itoayo huduma kwa watanzania ,
me niko iringa mjini ,ofisi zenu zpo maeneo gani niwatembelee tuongee uso kwa uso?
8 Mutarama, 2018 (edited 8 Mutarama, 2018)
george mhamali (mwanza) bavuzeko
Habarini za jioni! Kwa Mwanza mnaweza kuja kufanya kazi.nahitaji kisima pamoja na pump ya sola.
14 Mutarama, 2018
TAMIM (CHALINZE) bavuzeko
Habari za jioni Mimi nipo halmashauri ya chalinze na nahitaji sana huduma hii muhimu,ofisi zenu zipo wapi niwatembelee kwa elimu zaidi?
6 Werurwe, 2018
Harold (Pandambili, Kongwa) bavuzeko
Hi comrades
I need a 85m + water well at Pandambili in Dodoma region. What are the costs plus a solar water pump. I have undertaken survey study so I am almost sure about the depth.
3 Mata, 2018
Manase Mlonganile (Iringa) bavuzeko
Good news
9 Kamena, 2018
alain kisena (kigoma) bavuzeko
jamani hizi huduma zina hitajika hata kwetu DRC. Niko tayari kuwa sindikiza
14 Kanama, 2018
Salum Sais mangosongo (Magu -mwanza) bavuzeko
Nataka kujua je kuhusu under ground surveys mnafanya na mnacharge NATO au inakuwa kayika package??
16 Kanama, 2018
Salum Sais mangosongo (Magu -mwanza) bavuzeko
Naomba kufahamu kuhusu survey katka kuchimba hvyo kisima na mita moja mnachimba kwa sh ngap??
16 Kanama, 2018
Emmanuel Mathayo (Maili-Mbili Mnadani (Miyuji)) bavuzeko
Niko Dodoma. Nataka kutafiti (survey) uwezekano wa kupata maji kisima kirefu shamba liko Veyula km 15 kutoka Dodoma mjini. Baada ya kupata taarifa za upatikanaji maji kisha kuchimba na kuweka casing solar pump nk. Nipe gharama pamoja na namna ya kukutana nanyi kuianza hii hatua kwa hatua.
30 Kanama, 2018
Fredy (Dodoma) bavuzeko
Niko dodoma, nnahitaji kuchimba kisima. Kama hautojali nnaomba estimation cost za survey, kuchimba na solar water pump, shamba lipo ntyuka njia ya kwenda mvumi. Dodoma mnapatikana wapi ili tukutane kwaajili ya kazi.
25 Nzeli, 2018
Harold Gabriel (Majengo, Kibaigwa) bavuzeko
Wataalamu salaam. Sijabahatika kuwapata kwa simu yenu ya Tigo. Nilipimiwa kisima eneo langu huko Dodoma wiki tatu zimepita sasa. Kila nikiomba nipewe mchanganuo wa gharama za kuchimba ili nianze kutafuta pesa naona KIMYAAAA. Naomba mjitahidi.
5 Ukwakira, 2018
Robinson Richard (Dar es saalam) bavuzeko
Pole na majukumu mm ni mwanafunzi wa chuon water institute nilikuwa naomba kama ninaweza Fanya field kweny kampuni yenu katka survey asanteni
21 Gashyantare, 2019
Erasto (moshi) bavuzeko
je mna fika Hadi Moshi
au nimikoa gani mnatoa huduma
15 Kanama, 2019

Tanga igitekerezo

Izina ryawe:
Aho uherereye
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.