Maeneo ya ukurasa huu ni kwa Kiingereza. Hariri tafsiri
Shamba la kupanda miti ya mbao linauzwa na miche ya matunda mbali mbali na mbao inauzwa
Shamba la ekari mia nne (400) linauzwa kila ekari TSH: (70,000) Elfu sabini tu naunaweza ukanunua ekari chache, lipo Njombe linafaa kwa kilimo cha matunda ya maparachichi, embe, nanasi, miti ya mbao ya aina zote, kilimo cha mahindi, viazi, nyanya, ufugaji wa kuku, ng'ombe NK.
Lipo karibu na barabara kwa mawasiliano piga 0754397178, 0652556833
Pia tunauza mbao, mahindi, na miti ya nguzo za umeme na kwa kwa uhitaji wa shamba/ kiwanja eneo lolote tutafute.
Pia tunauza miche ya matunda mbali mbali, miche ya miti ya mbao mbali mbali na tunatoa ushauri wa uendeshaji wa mirad ya ufugaji kuku, samaki, nyuki, na kilimo cha miti na mboga mboga.
tembelea PRETTY DEVELOPMENT FOR POVERTY REDUCTION (PDPR): MITI YA MBAO KUKU NYUK
17 Aprili, 2015
Maoni (8)
I do really support your efforts on empowering the poor people in rural area.I am very curious to know in details about the price and how can i get that farm.
tembelea www.envaya.org/pdpr