Envaya

Madhumuni ya Shirika ni kuwaunganisha wastaafu ili kupambana na umasikini na maradhi haswa Ukimwi na Malaria. Pia kutoa elimu kwa jamii ili wawe na ufahamu wa kupambana na umasikini na maradhi. Kulinda, kutunza mazingira, makazi, Rasilimali za asili {maji, mito, mabwawa, misitu na uoto wa asili

Mabadiliko Mapya
NYENGEDI ENVIRONMENT DEVELOPMENT AND DISEASES CONTROL ina ujumbe mpya katika mada Kwanini watanzania tulio wengi ni masikini hata wa mawazo..
fikiri mvugaro: watanzania tulio wengi ni mabigwa na wataalamu wazuri wa mawazo hasa wanasiasa wetu ila tatizo linapokuja pale inapofikia utekelezaji ndio mbinde ukitaka kuamini hilo angali kipindi cha uchaguzi kinapofia uambiwa maneno matamu na yakutia moya hata kama ulikuwa huna haja ya kupiga kura utahamasika mwenyewe kwenda kupiga kura. si... Soma zaidi
11 Mei, 2012
NYENGEDI ENVIRONMENT DEVELOPMENT AND DISEASES CONTROL imehariri ukurasa wa Timu.
BODI YA USHAURI YA NYEDACO – MWENYEKITI - MURCUS NGULI – KATIBU -RAYMOND MKONGOPELE – MWEKA HAZINA - HASSAN MWACHI – MSHAURI WA KITAALAM - GODLISTEN MSAKI – AFISA WA ITIFAKI NA MAWASILIANO – MRATIBU WA ELIMU NA KUJENGA UWEZO – MRATIBU WA AFYA MAJI NA... Soma zaidi
15 Septemba, 2011
NYENGEDI ENVIRONMENT DEVELOPMENT AND DISEASES CONTROL imeongeza PSI kwenye orodha yake ya Mashirika ya Ubia.
29 Agosti, 2011
NYENGEDI ENVIRONMENT DEVELOPMENT AND DISEASES CONTROL imeongeza LINDI SUPPORT AGENCY FOR WELFARE kwenye orodha yake ya Mashirika ya Ubia.
29 Agosti, 2011
NYENGEDI ENVIRONMENT DEVELOPMENT AND DISEASES CONTROL imeongeza Habari.
Tunakaribisha wadau mbalimbali katika Shirika letu la Nyedaco kwa ushauri na kusaidia jamii ya kusini iliyo katika hatua za awali kabisa za maendeleo. Tunaomba asasi mashirika na wadau wengine wanaotaraji kufanya kazi Wilaya ya Lindi milango iko wazi kwenu
29 Agosti, 2011
NYENGEDI ENVIRONMENT DEVELOPMENT AND DISEASES CONTROL imeumba ukurasa wa Timu.
BODI YA USHAURI YA NYEDACO – MWENYEKITI - MURCUS NGULI – KATIBU -RAYMOND MKONGOPELE – MWEKA HAZINA - HASSAN MWACHI – MSHAURI WA KITAALAM - GODLISTEN MSAKI – AFISA WA ITIFAKI NA MAWASILIANO – MRATIBU WA ELIMU NA KUJENGA UWEZO – MRATIBU WA AFYA MAJI NA... Soma zaidi
29 Agosti, 2011
Sekta
Sehemu
Lindi Vijijini, Lindi, Tanzania
Tazama mashirika ambayo yapo karibu