Log in
Mzizi Cultural Troup

Mzizi Cultural Troup

Iringa, Tanzania

Parts of this page are in Swahili. Edit translations

Je sheria sheria ya ndoa ina mtendea haki kijana?

Mzizi Cultural Troup
August 2, 2012 at 6:21 PM EAT (edited August 2, 2012 at 6:26 PM EAT)

sheria zetu napata shida kuzizungumzia, wakati katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania inamtambua mtoto kuwa ni yule aliye chini ya miaka 18. serikali inaendelea kuhimiza uundwaji wa sera na sheria zinazomlinda mtoto kwa mujibu wa mikataba ya kimataifa. chakushangaza sheria hii ya ndoa inatoa ruhusa kwa mtoto kuolewa chini ya umri wa miaka 18 kwa idhini ya wazazi wake. Je huku ni kumtendea haki kijana??


Add New Message

Invite people to participate