Fungua
Mafiga Women and Youth Development Organization

Mafiga Women and Youth Development Organization

Tanzania

MWAYODEO kwa kushirikiana na UWEZO East Africa,imewefanya zoezi la upimaji wa uwezo wa watoto walio na umri kati ay miaka 5-16 katika wilaya ya Kilosa.Jumla ya vijiji 25 vilifikiwa na wakusanyaji wa takwimu katika ngazi ya kaya,vijiji na shule za msingi.
2 Juni, 2010
Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.