Jumuiya yetu inafanya kazi ya kuwajengea uwezo jamii ya watu wa wilaya ya Bagamoyo katika nyanja ya elimu ya ujasiliamali, kilimo na mifugo kwa kuwajengea wafugaji malambo ya kunyweshea mifugo yao, kuweka na kukopa(SACCOS) na tunawapatia mikopo kwa kuendeleza shughuli na miradi mbalimbali ndani ya vikundi vyao. Utawala bora husuani katika uwazi na uwajibikaji kwa Viongozi wa Vikundi na watendaji wa Serikali za mtaa, na kusambaza mbegu za mihogo zinazohimili magonjwa.
Mabadiliko Mapya
Jumuiya Endelevu Bagamoyo imetoa FCS Narrative Report.
21 Juni, 2011
Jumuiya Endelevu Bagamoyo imeumba ukurasa wa Timu.
Jumuiya yetu inaongozwa na Kamati ya utendaji ambapo kuna mwenyekiti, Katibu mtendaji, mweka Hazina. Pia kuna wataalam na watendaji wa siku kwa siku ndani ya Jumuiya km Afisa Mipango na fedha, Msimamizi wa miradi, na Mhudumu wa ofisi. Lakini chombo cha juu chenye mamlaka katika Jumuiya yetu ni mkutano mkuu wa wanachama... Soma zaidi
2 Machi, 2011
Jumuiya Endelevu Bagamoyo imeumba ukurasa wa Miradi.
Jumuiya yetu inafanya kazi ya kuwajengea uwezo jamii ya watu wa wilaya ya Bagamoyo katika nyanja ya elimu ya ujasiliamali, kilimo na mifugo kwa kuwajengea wafugaji malambo ya kunyweshea mifugo yao, kuweka na kukopa(SACCOS) na tunawapatia mikopo kwa kuendeleza shughuli na miradi mbalimbali ndani ya vikundi vyao. Utawala... Soma zaidi
2 Machi, 2011
Jumuiya Endelevu Bagamoyo imeumba ukurasa wa Historia.
JEBA Society, ni kifupisho cha neno Jumuiya Endelevu Bagamoyo. Lilianzishwa mwaka 2000 na kupata usajili wa kisheria mwaka 2001, na kupewa cheti namba SO.11190. Lilianzishwa na vikundi vya kijamii kutoka wilaya ya Bagamoyo mjini na jimbo la Chalinze. Lengo kuu lilikuwa ni kuondokana na uonevu waliokuwa wakipata wakati misaada iliyokuwa... Soma zaidi
2 Machi, 2011
Jumuiya Endelevu Bagamoyo imetoa FCS Narrative Report.
1 Machi, 2011
Sekta
Sehemu
Bagamoyo, Pwani, Tanzania
Tazama mashirika ambayo yapo karibu
Tazama mashirika ambayo yapo karibu