Log in
Mrumate Disabled Centre

Mrumate Disabled Centre

Arusha, Tanzania

Parts of this page are in Swahili. Edit translations

Kutoa na kupokea

Hubert (DODOMA)
April 14, 2014 at 9:54 PM EAT

Je unaweza kuwa mpokeaji bila kutoa?

Kwa kutoa /kusaidia unabarikiwa,unaombewa, unapata maradufu, unajiwekea hazina si kwa uliempa tu bali hata kwa Mwenyezi Mungu. Kwa wanasiasa kutoa kunajenga jina japo sio lengo.

    Kupokea sasa vinaweza vikakutokea puani kama havina baraka. Vinakufaidisha  kwa mda mfupi. Unazoea kila siku unataka iwe hivyo, uvivu unakuingia, Huwezi kuweka akiba. Heshima inashuka.

Je uko wapi?


Add New Message

Invite people to participate