Fungua
Movement of Poverty Eradication (MOPE)

Movement of Poverty Eradication (MOPE)

Dar es Salaam, Tanzania

7 Februari, 2012
« Iliyotangulia

Maoni (3)

FAAYA (DAR ) alisema:
he kaka haya ni matatizo makubwa sana, hawa wote wanahitaji msaada kweli serikari in kazi

ongera MOPE kwa kazi nzuri sikujua kama ali ni mbaya hivi
7 Februari, 2012
ROSE (TANDALE -DAR ) alisema:
RIPORT KAMA HIZI NDO ZINATAKIWA MAANA ZINATOA UARISIA WA MAMBO YALIVYO. TUWASAIDIE TU UJAFA UJAUMBIKA KAKA
7 Februari, 2012
Hamisi (manzese) alisema:
wananchi wameambiwa waende mabwepande hawataki, mafuriko mengine yakija wasije wakaleta lawama za bure. uharibifu wote huu bado watu wanataka kukaa hapa wamezoea matatizo hawa watu au vipi mie siwaelewi.
MOPE rudini mkawaombe waende mabwepande bado mirango iko wazi ikishafungwa watafanyaje?. nawashukuru sana MOPE kwa kutuletea ujumbe huu
10 Februari, 2012

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.