Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations
Mashamba yaliyoathirika kwa kuingia maji ya chunvi. Kwahivyo yamehamwa
Athari za kuchimba mchanga na kukata miti ovyo imepelekea maji ya chunvi kupanda maeneo ya makazi
Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr Bilali akishirikiana na wanameca akipanda miti mwaka 2011
Wanajumuiya wakisikiliza hoja za wajumbe wa mkutano mkuu wa mwaka 2010