Injira
LUSHOTO SECONDARY SCHOOL

LUSHOTO SECONDARY SCHOOL

lushoto, Tanzania

Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Icyongereza. Edit translations

VISIT US AT    lushoto344.blogspot.com 


 
                       

 

 

 

                           

 

Ten years for successful of Lushoto Sec School...............

NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA

CSEE 2013 EXAMINATION RESULTS

S3721 LUSHOTO SECONDARY SCHOOL

DIV-I = 0 DIV-II = 1 DIV-III = 7 DIV-IV = 34 DIV-0 = 68

 

EXAMINATION CENTRE RANKING

 

EXAMINATION CENTRE REGION

TANGA

TOTAL PASSED CANDIDATES

42

EXAMINATION CENTRE GPA

5.3719

CENTRE CATEGORY

CENTRE WITH 40 CANDIDATES OR MORE

CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(REGIONWISE)

113/209

CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(NATIONWISE)

2689/3256

 

EXAMINATION CENTRE DIVISIONS PERFORMANCE

 

REGIST

ABSENT

SAT

WITHHELD

NO-CA

CLEAN

DIV I

DIV II

DIV III

DIV IV

DIV 0

133

0

133

23

0

110

0

1

7

34

68

 

EXAMINATION CENTRE SUBJECTS PERFORMANCE

CODE

SUBJECT NAME

REG

SAT

NO-CA

W/HD

CLEAN

PASS

GPA

REG/RANK

NAT/RANK

011

CIVICS

133

133

0

23

110

17

6.3364

163/253

3647/4355

012

HISTORY

133

133

0

23

110

16

6.4364

163/252

3729/4322

013

GEOGRAPHY

133

133

0

23

110

18

6.4091

149/253

3648/4352

015

ELIMU YA DINI YA KIISLAMU

66

64

0

15

49

1

6.7959

88/92

828/887

021

KISWAHILI

133

133

0

23

110

69

5.0455

114/253

2967/4355

 

large.jpg

one of teachers-students meeting.

Serikali yawabeba waliofeli kidato cha pili

Sunday, 19 January 2014
Imetumwa kwenye Jamii

The Minister for Education and Vocational Training, Dr Shukuru Kawambwa

Wakati Watanzania wakisubiri matokeo ya kidato cha pili mwaka 2013, imebaini kuwa Serikali imetoa agizo kwamba wanafunzi wote waliofeli mtihani huo kuendelea na masomo ya kidato cha tatu, huku wakisoma mafunzo ya kurudia mtihani wa kidato cha pili.Licha ya matokeo hayo kutotangazwa hadi sasa, imebainika kuwa waliofaulu mtihani huo uliofanywa Oktoba 7 hadi 21 mwaka jana ni asilimia 62 tu, asilimia 31 wakitakiwa kukariri (kurudia) kidato cha pili mwaka huu, huku asilimia saba wakishindwa mtihani huo kwa mara ya pili.

Jumla ya wanafunzi 531,457 walitajwa na Wizara ya Elimu mwaka jana kuwa watafanya mtihani huo.

Uamuzi huo wa Serikali ni tofauti na ule uliotolewa na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa Novemba 4, mwaka 2012, kwamba kuanzia wakati huo mtihani wa kidato cha pili utakuwa ni wa mchujo na kwamba atakayefeli atatimuliwa.

Dk Kawambwa alisema matokeo ya mtihani wa kidato cha pili yatatumika kama kigezo cha kuchuja na kukariri kidato cha pili kwa watahiniwa watakaoshindwa kufikia wastani wa ufaulu wa alama 30.

Alisema mtahiniwa ataruhusiwa kukariri kidato cha pili mara moja tu na endapo mtahiniwa atashindwa mtihani kwa mara ya pili kwa mwaka utakaofuatia, itabidi aendelee na elimu ya sekondari nje ya mfumo rasmi.

Gazeti hili limeiona barua iliyoandikwa Januari 16 mwaka huu na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi na kusainiwa na Katibu Mkuu wake, Profesa Sifuni Mchome, kwenda kwa wadau wa elimu nchini, wakiwamo maofisa elimu wa mikoa na Chama cha Wamiliki wa Vyuo na Shule Binafsi (Tamongsco).(P.T)

2 minutes ago