Injira
LUSHOTO SECONDARY SCHOOL

LUSHOTO SECONDARY SCHOOL

lushoto, Tanzania

Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Icyongereza. Edit translations

NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA

CSEE 2013 EXAMINATION RESULTS

S3721 LUSHOTO SECONDARY SCHOOL

DIV-I = 0 DIV-II = 1 DIV-III = 7 DIV-IV = 34 DIV-0 = 68

 

EXAMINATION CENTRE RANKING

 

EXAMINATION CENTRE REGION

TANGA

TOTAL PASSED CANDIDATES

42

EXAMINATION CENTRE GPA

5.3719

CENTRE CATEGORY

CENTRE WITH 40 CANDIDATES OR MORE

CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(REGIONWISE)

113/209

CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(NATIONWISE)

2689/3256

 

EXAMINATION CENTRE DIVISIONS PERFORMANCE

 

REGIST

ABSENT

SAT

WITHHELD

NO-CA

CLEAN

DIV I

DIV II

DIV III

DIV IV

DIV 0

133

0

133

23

0

110

0

1

7

34

68

 

EXAMINATION CENTRE SUBJECTS PERFORMANCE

CODE

SUBJECT NAME

REG

SAT

NO-CA

W/HD

CLEAN

PASS

GPA

REG/RANK

NAT/RANK

011

CIVICS

133

133

0

23

110

17

6.3364

163/253

3647/4355

012

HISTORY

133

133

0

23

110

16

6.4364

163/252

3729/4322

013

GEOGRAPHY

133

133

0

23

110

18

6.4091

149/253

3648/4352

015

ELIMU YA DINI YA KIISLAMU

66

64

0

15

49

1

6.7959

88/92

828/887

021

KISWAHILI

133

133

0

23

110

69

5.0455

114/253

2967/4355

 

large.jpg

one of teachers-students meeting.

Serikali yawabeba waliofeli kidato cha pili

Sunday, 19 January 2014
Imetumwa kwenye Jamii

The Minister for Education and Vocational Training, Dr Shukuru Kawambwa

Wakati Watanzania wakisubiri matokeo ya kidato cha pili mwaka 2013, imebaini kuwa Serikali imetoa agizo kwamba wanafunzi wote waliofeli mtihani huo kuendelea na masomo ya kidato cha tatu, huku wakisoma mafunzo ya kurudia mtihani wa kidato cha pili.Licha ya matokeo hayo kutotangazwa hadi sasa, imebainika kuwa waliofaulu mtihani huo uliofanywa Oktoba 7 hadi 21 mwaka jana ni asilimia 62 tu, asilimia 31 wakitakiwa kukariri (kurudia) kidato cha pili mwaka huu, huku asilimia saba wakishindwa mtihani huo kwa mara ya pili.

Jumla ya wanafunzi 531,457 walitajwa na Wizara ya Elimu mwaka jana kuwa watafanya mtihani huo.

Uamuzi huo wa Serikali ni tofauti na ule uliotolewa na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa Novemba 4, mwaka 2012, kwamba kuanzia wakati huo mtihani wa kidato cha pili utakuwa ni wa mchujo na kwamba atakayefeli atatimuliwa.

Dk Kawambwa alisema matokeo ya mtihani wa kidato cha pili yatatumika kama kigezo cha kuchuja na kukariri kidato cha pili kwa watahiniwa watakaoshindwa kufikia wastani wa ufaulu wa alama 30.

Alisema mtahiniwa ataruhusiwa kukariri kidato cha pili mara moja tu na endapo mtahiniwa atashindwa mtihani kwa mara ya pili kwa mwaka utakaofuatia, itabidi aendelee na elimu ya sekondari nje ya mfumo rasmi.

Gazeti hili limeiona barua iliyoandikwa Januari 16 mwaka huu na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi na kusainiwa na Katibu Mkuu wake, Profesa Sifuni Mchome, kwenda kwa wadau wa elimu nchini, wakiwamo maofisa elimu wa mikoa na Chama cha Wamiliki wa Vyuo na Shule Binafsi (Tamongsco).(P.T)

2 minutes ago

Upinzani Syria kushiriki mazungumzo

Sunday, 19 January 2014
Imetumwa kwenye Jamii

A UN report has put the number of refugees fleeing Syria at more than a million. Around half are children

Baada ya mjadala mkali, kundi la upinzani nchini Syria limekubali kuhudhuria mazungumzo ya amani mjini Geneva wiki ijayo.

Uamuzi huo ulipokelewa vyema na wafadhili wake wa Magharibi waliosema ni hatua muhimu huku wakionyesha matumaini katika mazungumzo hayo.

Mataifa ya magharibi yenye uwezo mkubwa yamekuwa yakiushinikiza upinzani huo kushiriki katika mazungumzo hayo ambayo pia yatashirikisha serikali ya syria.

Swala la iwapo kuna umuhimu wa kuhudhuria mazungumzo hayo yaliugawanya upinzani huo huku wengi wa wanachama wa kundi hilo wakiamua kujiondoa.

Mwandishi wa BBC amesema kuwa kutakuwa na maswala mengi kuhusu vile wawakilishi wa upinzani huo walivyojitayarisha.

Wakati huohuo, waziri wa mambo ya nje wa Marekani, John Kerry amepongeza uamuzi wa upinzani wa Syria kwenda kwa mazungumzo nchini Switzerland.

Lengo la mkutano ni kuona ikiwa inawezekana kuunda serikali ya mpito, ili kumaliza mzozo wa Syria.

Mgogoro huo wa miaka mitatu, umesababisha vifo vya zaidi ya watu 100,000(P.T)

Asilimia 98 wasema Ndio kwa katiba Misri

Sunday, 19 January 2014
Imetumwa kwenye Jamii

Kamati ya tume ya uchaguzi iliyotangaza matokeo ya kura ya maoni kuhusu katiba mpya

Mamlaka nchini Misri imetangaza kuwa katiba mpya ya taifa hilo imeungwa mkono na 98.1% ya watu waliopiga kura katika shughuli ya kura ya maamuzi wiki jana.

Serikali hiyo inayoungwa mkono na jeshi,imesema kuwa hatua hiyo ni mwanzo mpya wa taifa la Misri.

Lakini vuguvugu la Muslim Brotherhood lililosusia kura hiyo limesema kuwa,asilimia 40 ya watu ambao hawakuinga mkono inaonyesha wazi kwamba shughuli hiyo ilifeli.

Katiba hiyo itachukua mahala pa sheria zilizowekwa na aliyekuwa rais wa taifa hilo Mohammed Morsi ambaye aliondolewa madarakani mwaka uliopita.

Waziri wa maswala ya kigeni nchini marekani John Kerry ,amesema kuwa demokrasia ni kuwepo kwa zaidi ya kura moja ,huku akitoa wito kwa serikali kuidhinisha haki na uhuru ambao katiba hiyo inapigania.

Idadi ya waliojitokeza ilikuwa 38.6% ya watu milioni 53 wenye kadi za kupiga kura.

Kura ya maoni kuhusu katiba mpya ni hatua ya serikali kutaka kuhalalisha hatua ya kumwondoa mamlakani Morsi mwaka jana.

Watu kadhaa walifariki kwenye ghasia zilizotokea wakati kura ya maoni ilipokuwa inafanyika.(P.T)

Ayman Mjengwa...

Sunday, 19 January 2014
Imetumwa kwenye Jamii

Mtoto wa mdogo wangu wa baba mkubwa Raphael Mjengwa. Pichani pia ni shemeji yangu, mke wa Salim Mjengwa. Salim na mkewe wanaishi Songea na wamenikaribisha chai nzito ya asubuhi.(P.T)

Good morning Songea, Good morning The World. .!

Sunday, 19 January 2014
Imetumwa kwenye Jamii

Mahenge, Songea Town, Tanzania.(P.T)

Serikali yawabeba waliofeli kidato cha pili

Sunday, 19 January 2014
Imetumwa kwenye Jamii

The Minister for Education and Vocational Training, Dr Shukuru Kawambwa

Wakati Watanzania wakisubiri matokeo ya kidato cha pili mwaka 2013, imebaini kuwa Serikali imetoa agizo kwamba wanafunzi wote waliofeli mtihani huo kuendelea na masomo ya kidato cha tatu, huku wakisoma mafunzo ya kurudia mtihani wa kidato cha pili.Licha ya matokeo hayo kutotangazwa hadi sasa, imebainika kuwa waliofaulu mtihani huo uliofanywa Oktoba 7 hadi 21 mwaka jana ni asilimia 62 tu, asilimia 31 wakitakiwa kukariri (kurudia) kidato cha pili mwaka huu, huku asilimia saba wakishindwa mtihani huo kwa mara ya pili.

Jumla ya wanafunzi 531,457 walitajwa na Wizara ya Elimu mwaka jana kuwa watafanya mtihani huo.

Uamuzi huo wa Serikali ni tofauti na ule uliotolewa na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa Novemba 4, mwaka 2012, kwamba kuanzia wakati huo mtihani wa kidato cha pili utakuwa ni wa mchujo na kwamba atakayefeli atatimuliwa.

Dk Kawambwa alisema matokeo ya mtihani wa kidato cha pili yatatumika kama kigezo cha kuchuja na kukariri kidato cha pili kwa watahiniwa watakaoshindwa kufikia wastani wa ufaulu wa alama 30.

Alisema mtahiniwa ataruhusiwa kukariri kidato cha pili mara moja tu na endapo mtahiniwa atashindwa mtihani kwa mara ya pili kwa mwaka utakaofuatia, itabidi aendelee na elimu ya sekondari nje ya mfumo rasmi.

Gazeti hili limeiona barua iliyoandikwa Januari 16 mwaka huu na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi na kusainiwa na Katibu Mkuu wake, Profesa Sifuni Mchome, kwenda kwa wadau wa elimu nchini, wakiwamo maofisa elimu wa mikoa na Chama cha Wamiliki wa Vyuo na Shule Binafsi (Tamongsco).(P.T)

List of schools in Tanzania

From Wikipedia, the free encyclopedia
 
 

The following is a list of schools in Tanzania:

 

Wesley Primary, English medium School, Morogoro

Kiborloni Secondary School-Moshi

Lushoto secondary school

Lushoto district

Lushoto

Category:Secondary Schools (ward)
A/O - LEVELO level
Reg NumberS.1967
School_Owner - community