Envaya
Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

Legal Assistance Organization Legal Aid Programme to open a new centre in Sengerema District soon!

4 Nzeli, 2012
« Inyuma Ahakurikira »

Ibitekerezo (5)

Tunawakaribisha wakazi wa wilaya ya Sengerema kuja kupata msaada wa kisheria katika kituo chetu. Kituo kitafunguliwa rasmi tarehe 10.09.2012.
4 Nzeli, 2012
jamal jonathan (sengerema) bavuzeko
tunafurahia sana habari hii na tunaomba anuani yenu hapa sengerema mtakuwa wapi
7 Ukuboza, 2012
juma nkungurume (sengerema) bavuzeko
tunaomba anuani ya hapo kituoni na yuko nani tunamatatizo huku na tuna hitaji utatuzi na utetezi
7 Ukuboza, 2012
[Siba igitekerezo]
Ndugu Jamal na Juma, tumepokea maombi yenu, jitihada bado zinafanyika kupata ofisi ya kudumu na karibu na makazi ya watu, nitawapatia mawasiliano ya mwangalizi wa kituo cha Sengerema muonane naye kwa msaada zaidi wa kisheria.
10 Ukuboza, 2012
Alex B. Ntabala (Magereza(M) Mwanza) bavuzeko

Nafikiri hilo ni wazo zuri sana, hasa ikizangatiwa kwamba wananchi wengi hususani waliopo nje ya Jiji wamekuwa hawapati nafasi hiyo...

12 Mutarama, 2013 (edited 12 Mutarama, 2013)

Tanga igitekerezo

Izina ryawe:
Aho uherereye
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.