FCS Narrative Report
Utangulizi
kilwa non governmental organization network
kingonet
kujenga uwezo kwa viongozi wa azaki juu ya kufuatilia rasilimali za umma (pets)
fcs/mg/03/09/034
Tarehe: desemba 2010 - februali 2011 | Kipindi cha Robo mwaka: 1 |
omari s. mkuwili s. l. p. 175 kilwa masoko
simu 0232013216, 0784598249
E-mail; kingonet_kilwa@yahoo.com
simu 0232013216, 0784598249
E-mail; kingonet_kilwa@yahoo.com
Maelezo ya Mradi
Sera
Mradi unakidhi malengo ya eneo lililochaguliwa kwa sababu mradi ulishirikisha wadau wote (viongozi wa asasi za kiraia) ambao ndiyo wahusika wakuu wa mradi na washiriki katika mafunzo.Aidha mradi unalenga kuwapaia elimu viongozi wa AZAKI juu ya PETS huu ni utekelezaji wa sera.
Mkoa | Wilaya | Kata | Vijiji | Idadi ya Wanufaika |
---|---|---|---|---|
Lindi | kilwa | zote 20 | vyote 103 | 170 |
Walengwa wa moja kwa moja | Walengwa wasio wa moja kwa moja | |
---|---|---|
Wanawake | 100 | 98690 |
Wanaume | 70 | 82192 |
Jumla | 170 | 180882 |
Shughuli na Matokeo ya Mradi
Uwezo waAZAKI katika kufuatiliamchakato wa matumizi ya fedha za ummaumeongezeka
Kuendesha mafunzo ya siku nne kwa viongozi wa AZAKI kuhusu mchakatowa kufuatilia matumizi ya fedha za umma
Mafunzo ya siku nne yalifanyika kuanzia tarehe 01 hadi 04/02/2011 kwa viongozi wa AZAKI 54 walihudhuria na yaliyofundishwa ni pamoja na;
-Dhana ya PETS,Muundo wa serikali za mitaa, Mchakato wa mpango wa bajeti, Staili na misingi ya PETS, Majukumu ya kamati za PETS,Ushawishi na utetezi katika PETS
-Dhana ya PETS,Muundo wa serikali za mitaa, Mchakato wa mpango wa bajeti, Staili na misingi ya PETS, Majukumu ya kamati za PETS,Ushawishi na utetezi katika PETS
Hakuna tofauti
Ths 8,274,000/=
Mafanikio au Matunda ya Mradi
-Uwazi katika kuweka taarifa za matumizi ngazi ya kata umeongezeka
-Idadi ya viongozi wa serikali za mitaa wanaotekeleza wajibu wao wameongezeka
-Idadi ya malalamiko yanayowasilishwa kwenye vikao yamepungua
-Idadi ya viongozi wa serikali za mitaa wanaotekeleza wajibu wao wameongezeka
-Idadi ya malalamiko yanayowasilishwa kwenye vikao yamepungua
-Taarifa za miradi kuwa wazi kwa wahusika
-Azaki kushirikishwa kwenye masuala ya serikali kama wadau wa maendeleo
-Mipago ya bajeti kushirikisha asasi za kiraia
-Azaki kushirikishwa kwenye masuala ya serikali kama wadau wa maendeleo
-Mipago ya bajeti kushirikisha asasi za kiraia
-Wanaazaki kufhamu namna ya kufanya ufuatiliaji wa utekelezaji wa miradi
-Kuongezeka kwa uelewa kwa wanaazaki juu PETS
-Kuongezeka kwa uelewa kwa wanaazaki juu PETS
-Mafunzo kuendeshwa vyema na wawezeshaji
Mambo Mliyojifunza
Maelezo |
---|
Mikakati ya serikali na utoaji wa dhana ya PRTS |
Muundo wa serikali za mitaa |
Mchakato wa mipango ya bajeti za serikali za mitaa |
Ufuatiliaji wa wa matumizi na rasilimali za umma(PETS) |
Stahili na haki za msingi wa kisheria na fedha za PETS |
Hatua za msingi na methodolojia za PETS |
Changamoto
Changamoto | Namna mlivyokabiliana nazo |
---|---|
Muda wa mafunzo kuwa mfupi | Wawezeshaji walijitahidi kwenda na muda ili kukidhi matakwa ya mada |
Tofauti za uelewa kwa washiriki | Mbinu shirikishi zilitumika ili kila mmoja kuweza kushiriki na kuelewa |
Uoga wa viongozi kuhusu utekelezaji wa masuala ya PETS | VIngozi wa Halmashauriwalishirkishwa kikamilifu kwenye mafunzo |
Mahusiano
Wadau | Namna mlivyoshirikiana nayo |
---|---|
Serikali ya Halmashauri ya wilaya na Serikali kuu | Kupata miongozo mbalimbali |
Mtandao wa mkoa | Msimamizi mkuu wa AZAKI ndani ya mkoa |
Vyombo vya sheri kama mahakama na polisi | kuwashrikisha katika mambo mbalimbali ya kisheria |
Jamii | Wamiliki wakuu wa shughuli za AZAKI na kushiriki kwenye mafunzo mbalimbali |
Mipango ya Baadae
Shughuli Zilizopangwa | Mwezi wa 1 | Mwezi wa 2 | Mwezi wa 3 |
---|---|---|---|
Kuendesha mafunzo kwa wanachama 60 wa AZAKI juu ya PETS | v | v | v |
Walengwa Waliofikiwa
Walengwa wa moja kwa moja | Walengwa wasio wa moja kwa moja | ||
---|---|---|---|
Wajane na Wagane | Wanawake | 3 | (Hakuna jibu) |
Wanaume | 2 | (Hakuna jibu) | |
Jumla | 5 | (Hakuna jibu) | |
Watu wanaoishi na VVU/UKIMWI | Wanawake | 2 | (Hakuna jibu) |
Wanaume | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) | |
Jumla | 2 | (Hakuna jibu) | |
Wazee | Wanawake | 24 | (Hakuna jibu) |
Wanaume | 23 | (Hakuna jibu) | |
Jumla | 47 | (Hakuna jibu) | |
Watoto Yatima | Wanawake | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) |
Wanaume | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) | |
Jumla | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) | |
Watoto | Wanawake | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) |
Wanaume | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) | |
Jumla | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) | |
Watu wenye Ulemavu | Wanawake | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) |
Wanaume | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) | |
Jumla | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) | |
Vijana | Wanawake | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) |
Wanaume | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) | |
Jumla | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) | |
Watu wengine | Wanawake | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) |
Wanaume | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) | |
Jumla | (Hakuna jibu) | (Hakuna jibu) |
(Hakuna jibu)
Matukio Mliyoyahudhuria
Aina ya Tukio | Lini | Mambo uliyojifunza | Hatua zilizochukuliwa |
---|---|---|---|
Semina elekezi | disemba 2009 | Namna ya kusimamia Ruzuku | Kuendesha mradi na kutoa taarifa ya mradi |
Viambatanisho
(Hakuna jibu)