Fungua
KIKUNDI CHA KUPAMBANA NA UKIMWI MTWARA

KIKUNDI CHA KUPAMBANA NA UKIMWI MTWARA

Mtwara, Tanzania

shirika letu limeelimisha vijana au makundi rika kuhusu kujikinga na maambukizi mapya umimwi shirika letu limefanya kazi katika kata tano za wilaya ya mtwara ambazo ni kata ya jangwami mitengo likombeĀ  chiikongola kisungule pia shirika letu limeweza kugawa misaada kwa watu waishio na virusi nya ukimwi

18 Mei, 2011

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.