1. Kuhamasisha jamii kuhifadhi mazingira
2. Kuwezesha wakina mama kupunguza umasikini kupitia elimu ya ujasilia mali
3. Kuhamasisha uwajibikaji na uongozi bora katika ngazi ya serikali ya mitaa
4. Kujenga utetezi na ushawishi juu ya haki za wanawake na hasa mtoto wa kike
5. Kufanya utafiti unaolenga kuboresha maisha wanawake
6. Kushirikaina na wadau mbali mbali kuinua maisha ya wanawake
Mabadiliko Mapya
KAGERA WOMEN ENVIRONMENTAL SOCIETY imeumba ukurasa wa Historia.
The history came up with the view of Beretha Andrew an activist who came up to establish an environmental nursery unit at Muleba; the unit got support of KAEMP,particularly with seed support. – Later on Beretha sustained individually the project following KAEMP to phase out. – With the Advice from Sylivand Mugere... Soma zaidi
26 Mei, 2012
KAGERA WOMEN ENVIRONMENTAL SOCIETY imeumba ukurasa wa Miradi.
1.The organisation currently it has a tree nursery site with all tree species along bomani-post – office road in Muleba Town Kagera Tanzania. – 2.It is sensitising the women along the beachs of Ruhanga,Rwazi and Katunguru for sustainable – conservation of Lake Victoria showerlines and Its island.... Soma zaidi
26 Mei, 2012
KAGERA WOMEN ENVIRONMENTAL SOCIETY imeumba ukurasa wa Timu.
Mwenyekiti: Bertha Andrew – Katibu Mkuu: Dr.Kemilembe Mugere – Katibu Mkuu Msaidizi:Emmaculate Nebagu. – Wajumbe: – 1. Lester Mutta. – 2. Candida Kinoni – 3.Resiana Kalikwendwa
26 Mei, 2012
KAGERA WOMEN ENVIRONMENTAL SOCIETY imejiunga na Envaya.
25 Mei, 2012
Sekta
Sehemu
muleba, Kagera, Tanzania
Tazama mashirika ambayo yapo karibu
Tazama mashirika ambayo yapo karibu