Lengo kuu la Shirikia ni kuhakikisha Jamii ya Watanzania wanazitafsiri kwa Vitendo Haki za Binadamu na Misingi ya Utawala Bora ifikapo Mwaka 2025
Amakuru agezweho
Jikwamue Development Association yashyizeho Amakuru agezweho.
JIKWAMUE DEVELOPMENT ASSOCIATION-JIDA – jikwamue development Association ni Asasi ya Kiraia isiyotengeneza faida. – Asasi hii imeanzishwa mwaka 2010,na imepata Usajili tarehe 04/02/2011.chini ya sheria ya uanzishwaji wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali Act 24/2002. – MAKAO MAKUU – Ofisi za Asasi hii... Soma ibindi
15 Ukuboza, 2012
Jikwamue Development Association yashyize MORNGONET ku rutonde rwe rwa ibigo by'abafatanya bikorwa
27 Nzeli, 2012
Jikwamue Development Association yakoze Ikipe paje.
1.Mengi Mohamed Hariri-Mwenyekti wa Asasi – 2.Isdori Robert Kinzingo-Makamu wa Mwenyekiti – 3.Idd Suleimani Kingo-Katibu Mkuu. – 4.Said J.Juma-Naibu Katibu Mkuu – 5.Asha Athumani Nassoro-Mtunza Hazina. – 6.Mahinda Mahinda-Mjumbe
27 Nzeli, 2012
Jikwamue Development Association yakoze Imishinga paje.
Kufanya Mafunzo ya kuwajengea uwezo wananchi wa Vijiji 6 vilivyomo katika Kata ya Lundi Tarafa ya Matombo kuhusu mbinu za Ufuatiliaji wa Matumizi ya fedha za Ruzuku za Umma {PETS} zinazotengwa na serikali kwa ajili ya maboresho ya sekta ya Elimu.Pia tulifanya mafunzo ya kuwajengea uwezo Wajumbe wa Kamati ya Maendeleo ya... Soma ibindi
27 Nzeli, 2012
Jikwamue Development Association yasanze Envaya.
24 Nzeli, 2012
Ibyiciro
Aho uherereye
Matombo/Morogoro Vijijini, Morogoro, Tanzaniya
Reba ibigo mwegeranye
Reba ibigo mwegeranye