PICHA MBALI MBALI ZA ATHARI ZA MAFURIKO JIJINI DAR-ES-SALAAM
Maji machafu karibu ya makazi ya watu na nyumba zizilojengwa kwenye maeneo hatarishi,
endapo mvua kubwa zitatokea tena
Hali ikiendelea kubazi namna hii kuna hatari kubwa ya Magonjwa ya milipuko. Kazi kubwa inatakiwa kufanywa kuhamasisha jamii ili tuweze mazingira yawe safi na salama kwa binaadam.
13 Januari, 2012