Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

Tunaungana na wadau wote wa tasnia ya habari nchini kuomboleza kifo cha Mhariri wa gazeti la Jamboleo, Ndugu... http://t.co/0g73iGS1
Ibitekerezo (0)

@pbcloudsfm wanafunzi wanaenda shule hawajaoga kasheshe jumatatu siku ya usafi@barbarahassan #majidsm

@mammarison kushiriki katika vikao mbalimbali vya maendeleo ya shule ili kujadili mikakati ya kuinua taaluma hapo #okoaelimuarusha

OKOA ELIMU : Marafiki wa Elimu Arusha Mpo ? Harakati za ukombozi zinahitajika hapa... http://t.co/dM6aYEOf

Jitihada zinahitajika kuinyanyua shule hii, marafiki wa elimu Arusha mko wapi? http://t.co/8zqN2lMI
Watoto wakosa vipindi darasani kwa uhaba wa maji
watoto ambao wanasoma shule ya Msingi Iwalanje kata ya Ijombe wilaya ya Mbeya wakitoka kuchota maji wakati wenzao wakiwa katika vipindi madarasani leo |
Picha na blog ys Fransis Godwin |