Usikose kutizama kipindi cha TAFAKARI kutoka Shirika la HakiELimu kitakachorushwa katika Televisheni ya ITV siku ya Ijumaa saa moja Usiku ambapo tutaangazia Mtizamo wa Jamii kuhusu wanafunzi wanaopanga nyumba mitaani maarufu kama Gheto. Tizama kionjo hapa http://bit.ly/MEKfYC

Wiki hii Ijumaa saa moja kamili usiku HakiElimu kupitia @ITVTANZANIA tutawaletea kipindi kifuatacho http://t.co/RsJ5bGJb
Gheto 2
Kipindi cha Maisha ya Wanafunzi wanaopanga mitaani maarufu kama Ghetto kitaendelea wiki hii ambapo tutatangalia Jamii inasemaje kuhusu wanafunzi hawa. |
From:
hakielimutz
Views:
4
![]() ![]() ![]() ![]() ![]() 0
ratings | |
Time: 01:07 | More in Nonprofits & Activism |

Jamii inasemaje kuhusu wanafunzi wanaopanga mitaaani (Gheto) usikose kutizama kipindi hiki http://t.co/lgvsxzFt kupitia @ITVTANZANIA

AHADI ZA VIONGOZI WETU: Walimu wa Sekondari , Je ahadi ya Serikali iliyotolewa na Naibu Waziri wa Elimu Philipo... http://t.co/UkToBPMx

Kwa picha mbalimbali zinazoonyesha Taswira ya Elimu nchini tembelea mtandao wetu wa http://t.co/4V1BXFNT http://t.co/ivxWjZqQ