mkurugenzi wa taasisi ya golafoundation akiwa njiani kuelekea kijiji cha SHENDA wilaya ya MBOGWE mkoa wa GEITA.
MKURUGENZI wa taasisi ya gola foundation na IT MANAGER wakifanya ziara katika kisiwa cha kasalazi
Albinism nao no binadamu na binadamu wote wana haki sawa ya kuishi mimi na wewe tupinge ukatilii zidi ya Albino